babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
We tafuta ligi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We tafuta ligi tu
HapanaaWe tafuta ligi tu
Hujawahi kukubali kuna mwanaume mwenye nia njema kwa mwanamke hata siku na moja.asubutu.
Huoni elements za kuliwa masikhara mkuu.
Hizo stretching unafikiri ni za kazi gani?
Eti amuelewe mtu alivyo na aishi nae bila misuguano, hii sio kwamba yeye ni kadinyaji kweli kweli sasa akuvumilie?
Na hiyo kuwa free na kupokea simu usiku wa manane je? Ni ili aibuke muda wowote apige free P ya fasta asepe bila misuguano ya kugandana.
Afu wote wabishi,wenza wao kaz wanayobabyfancy Mamserenger endeleeni mi nasoma comments at the end nitatangaza mshindi
Ana zali la kuliwa kimasihara kila wakatii[emoji23][emoji23][emoji23]Hujawahi kukubali kuna mwanaume mwenye nia njema kwa mwanamke hata siku na moja.
NikuUlize waNauMe tulikokoseaga nini kikibwa ?
HahahaaaAfu wote wabishi,wenza wao kaz wanayo
Mimi simuelewi hata, negative attitude all the time.Ana zali la kuliwa kimasihara kila wakatii[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hahahahahaha unataka kusema hii wiiki haija isha hivi hivi kwakweli...???Mimi simuelewi hata, negative attitude all the time.
Aiseeee ni noma
Sijui mwanaume aongee nini ndio awe mwema kwake.
Ila huo ni ujinga tu, masilent killer najua wanajichapia tu huko [emoji23]
Mi ndo na Search hapa...[emoji23]Afu wote wabishi,wenza wao kaz wanayo
Ulimpoteza wapi?Hapanaa
Natafuta Mdada mwenye sifa zake tajwa mwanzo wa uzi huu...[emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nikimpata walahi simpoteziii...Ulimpoteza wapi?
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126] Mrs Bill gate [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]Hahahahahaha Jf hakuna ajuzaa.
Kama yupo basi ana Gegedo lakee.
Ila humu sidhani kina Fanc ni ajuzeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hahahahahaha Mbulukengeeeehh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie mbulukenge wa TZ siwataki hamjui hata mahaba mpompo tu kutwa kuwaza ngono [emoji57][emoji57][emoji57][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko ila msinimind
🤣🤣🤣🤣Hujawahi kukubali kuna mwanaume mwenye nia njema kwa mwanamke hata siku na moja.
NikuUlize waNauMe tulikokoseaga nini kikUbwa ?
kuliwa kupo!Wait....hapa ni mchumba anatafutwa? Au rafiki tu wa kuchat? Au ni rafiki na kimasihara included
Karucee muoga sanaa kuliwaaaweweeee...!![emoji23]kuliwa kupo!
Where...???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi hujanijua vizuri.
Nilishasema sana kwamba there are good men out there.
Simu za saa nane za usiku ww ni mlevi ,ww mwenyewe una fanya mazoezi taja sifa zako ww kwanza Mwanamke mwenye sifa hizo bongo hajazaliwa bado tafuta pesaaaaaa utamuondesha unavotaka kwa pesa zako bongo wanawake wavivu kufanya mazoezi ni wachache sana.Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free.
Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.
Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.
Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.
Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.
Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.
Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.
Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.
Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?
Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app