Naitaji mwanamke huru

Naitaji mwanamke huru

Na mimi natafuta wa hivo ila sijawahi pata 😂😂😂
Ukipata niambie ili nimuulize kama ana dada au rafk kama yeye 😂
 
Mbarikiwe mlioufaya huu uzi uwe active.
Lakini bado hakuna hata binti mmoja alie jitokeza kusema anavyo vigezo hata nusu tu 😣
 
Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free.

Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.

Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.

Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.

Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.

Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.

Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.

Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.

Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?

Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Napenda sana mwanamke (mcheshi na mwenye akili japo ni wachache mno)
 
Unakwama wapi kumwomba Mungu kibali cha Mke mwema tu, mbona hayo yote uyawazayo juu ya hu Mke yamejikita katika Mke mwema?
asubutu.

Huoni elements za kuliwa masikhara mkuu.

Hizo stretching unafikiri ni za kazi gani?

Eti amuelewe mtu alivyo na aishi nae bila misuguano, hii sio kwamba yeye ni kadinyaji kweli kweli sasa akuvumilie?

Na hiyo kuwa free na kupokea simu usiku wa manane je? Ni ili aibuke muda wowote apige free P ya fasta asepe bila misuguano ya kugandana.
 
asubutu.

Huoni elements za kuliwa masikhara mkuu.

Hizo stretching unafikiri ni za kazi gani?

Eti amuelewe mtu alivyo na aishi nae bila misuguano, hii sio kwamba yeye ni kadinyaji kweli kweli sasa akuvumilie?

Na hiyo kuwa free na kupokea simu usiku wa manane je? Ni ili aibuke muda wowote apige free P ya fasta asepe bila misuguano ya kugandana.
Hahahaha ninakukubaligi bure qe kiumbe
 
asubutu.

Huoni elements za kuliwa masikhara mkuu.

Hizo stretching unafikiri ni za kazi gani?

Eti amuelewe mtu alivyo na aishi nae bila misuguano, hii sio kwamba yeye ni kadinyaji kweli kweli sasa akuvumilie?

Na hiyo kuwa free na kupokea simu usiku wa manane je? Ni ili aibuke muda wowote apige free P ya fasta asepe bila misuguano ya kugandana.
Weee ke... ama..[emoji23]
Maana uko fasta... Dah

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi tu ungekuaga mtaani ningekuimbisha kila siku.
Naipenda akili yako.
Unaweza kumfanya kiumbe aishi kwa furaha yani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi tu ungekuaga mtaani ningekuimbisha kila siku.
Naipenda akili yako.
Unaweza kumfanya kiumbe aishi kwa furaha yani
Yaani hii akili mbofu mbofu unaipenda eeeeh?

Wonders shall never end.
 
Back
Top Bottom