babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
Haina shidaAchana naye mbinguni utachelewa kula raha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shidaAchana naye mbinguni utachelewa kula raha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Any way... naona kamserereko hakoooooo...[emoji57][emoji57][emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Ndinga hipo ila ninao waona si ile Grade ake...Nunua gari mkali. Utakuja kunishukuru.
Napenda sana mwanamke (mcheshi na mwenye akili japo ni wachache mno)Naitaji mwanamke huru wa kuchart nae ku shair nae story free.
Naitaji mwanamke mjanja mwenye mbinu na anae jua hesabu ili kukokotoa changamoto.
Napenda nipate mwana dada ambae yuko tayari kupokea simu yangu hata kama ni usiku wa manane.
Napenda awe rafiki angu ambae sito sita kumueleza kinacho nikwaza kunikera na yeye akanisaidia na hata kunielewa.
Napenda awe muelewa wa kumtambua mtu jinsi alivyo na kuishi nae bila misuguano.
Natamani awe na fani yoyote ambayo itamfanya awe na uzoefu kadri siku zinavyo songa na mimi ni msaidie kidogo kwa uwezo wangu.
Natamani awe anasoma vitabu na kuangalia move mbali mbali.
Napenda awe mtu wa michezo kucheza kwake iwe kawaida mazoezi ya mbio na stretching mbali mbali.
Natamani awe anaakili sanaaaaaa...!!?
Mwenye sifa hizi kwakwe nampenda na aje PM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa ufupi mwanamke anapenda kitu sio mtu.Ndinga hipo ila ninao waona si ile Grade ake...
Ni vituko na njaa kali shida usumbufu kero na kibaya kichwani hakuna kitu wao chini ndo mtaja na kuna chemka balaaa...
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Upae na nan?Any way... naona kamserereko hakoooooo...
Eeeh Mungu nijaliee miee huyu ni pae naee tuu hakuna namna..[emoji6]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ngumu sanaMbarikiwe mlioufaya huu uzi uwe active.
Lakini bado hakuna hata binti mmoja alie jitokeza kusema anavyo vigezo hata nusu tu [emoji21]
asubutu.Unakwama wapi kumwomba Mungu kibali cha Mke mwema tu, mbona hayo yote uyawazayo juu ya hu Mke yamejikita katika Mke mwema?
Mkuu wapo wenye mapenzi halisiKwa ufupi mwanamke anapenda kitu sio mtu.
Hahahaha ninakukubaligi bure qe kiumbeasubutu.
Huoni elements za kuliwa masikhara mkuu.
Hizo stretching unafikiri ni za kazi gani?
Eti amuelewe mtu alivyo na aishi nae bila misuguano, hii sio kwamba yeye ni kadinyaji kweli kweli sasa akuvumilie?
Na hiyo kuwa free na kupokea simu usiku wa manane je? Ni ili aibuke muda wowote apige free P ya fasta asepe bila misuguano ya kugandana.
🤣🤣🤣Hahahaha ninakukubaligi bure qe kiumbe
Weee ke... ama..[emoji23]asubutu.
Huoni elements za kuliwa masikhara mkuu.
Hizo stretching unafikiri ni za kazi gani?
Eti amuelewe mtu alivyo na aishi nae bila misuguano, hii sio kwamba yeye ni kadinyaji kweli kweli sasa akuvumilie?
Na hiyo kuwa free na kupokea simu usiku wa manane je? Ni ili aibuke muda wowote apige free P ya fasta asepe bila misuguano ya kugandana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi tu ungekuaga mtaani ningekuimbisha kila siku.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko fasta balaa kuunganisha dots.
Yaani hii akili mbofu mbofu unaipenda eeeeh?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi tu ungekuaga mtaani ningekuimbisha kila siku.
Naipenda akili yako.
Unaweza kumfanya kiumbe aishi kwa furaha yani
Hujui hizi mbofumbofu kuna akili ndani yake hatariYaani hii akili mbofu mbofu unaipenda eeeeh?
Wonders shall never end.