Naitaji mwanamke huru

Naitaji mwanamke huru

Simu za saa nane za usiku ww ni mlevi ,ww mwenyewe una fanya mazoezi taja sifa zako ww kwanza Mwanamke mwenye sifa hizo bongo hajazaliwa bado tafuta pesaaaaaa utamuondesha unavotaka kwa pesa zako bongo wanawake wavivu kufanya mazoezi ni wachache sana.
Mi naitaji mdada na sio mke...
Mke ni another case babuu.

Wanawake wakibongo wavivu hata mlevi mbwa anapiga na kubakaa.

Sasa type hiyo ya mwanamke kwangu no...!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie mbulukenge wa TZ siwataki hamjui hata mahaba mpompo tu kutwa kuwaza ngono [emoji57][emoji57][emoji57][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko ila msinimind
Fancy umelala mbeleee....???[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Na huna lolote umenimic tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] mseleleko
Kumbe ganda la ndizi unajuaa unalooo...

Acha niseleleke nalooo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka kama mazur
He...! Wee kupaa na kwenda kwenye mitaa ya wazungu kutalii kama Wolper unasema si mazurii...???

Any way mkataa pema wewee nahisi hivyo😂
 
Back
Top Bottom