Naitangaza rasmi Simba SC kuwa Bigwa wa TPL 2018/2019

Naitangaza rasmi Simba SC kuwa Bigwa wa TPL 2018/2019

View attachment 1074339

Kwa wale wasio fahamu matokeo ya mechi za leo

Coastal Union 1 Vs Simba Sc 2
Mtibwa Sugar 1 Vs Yanga 0

Baada ya mechi za leo msimamo ni kama unavyosoma hapo juu

Yanga ikiwa imebakiwa na mechi chache sana mechi 7. Huku Simba ikiwa na mamechi kibaaaao.

Kwa msimamo ulivyo,ili Yanga iwe bingwa inailazimu ishinde mechi zake zote ikiwamo mechi za Azam. Baada ya kufunga mechi zote iombee njaa kuu Simba Sc. Kwamba Simba hii hatari na tishio Africa bigwa mtarajiwa wa CAF Champions 2019/2020 ifungwe hivi:-

Ifungwe mechi 3 na kudroo 1
Ifungwe mechi 2 na kudroo 4
Ifungwe mechi 1 na kudroo 7
Isifungwe mechi na idroo 10

Jambo ambalo ni sawa na ngamia kupenya katika tundu la sindano

Kwa mazingira hayo natangaza rasmi Simba ni bingwa na TPL.

Yanga ikaze matako Azam Cup

Kumbe Wewe leo ndiyo umejua kuwa Simba SC itakuwa Bingwa? Mwenzako tokea tu Ligi Kuu ( TPL ) ilipoanza nilijua mapema kwamba Simba SC itautetea tena Ubingwa wake pasipo na shaka yoyote na kuna uwezekano pia kama hizi Timu zingine hazijajipanga na kujidhatiti hasa Kiusajili na Kiuchumi basi kuna uwezekano mkubwa mno kuwa Simba SC itakuwa Bingwa wa TPL hata kwa miaka 10 kama hata siyo 20 mfululizo.
 
View attachment 1074339
Kwa wale wasio fahamu matokeo ya mechi za leo
Coastal Union 1 Vs Simba Sc 2
Mtibwa Sugar 1 Vs Yanga 0
Baada ya mechi za leo msimamo ni kama unavyosoma hapo juu
Yanga ikiwa imebakiwa na mechi chache sana mechi 7. Huku Simba ikiwa na mamechi kibaaaao.
Kwa msimamo ulivyo,ili Yanga iwe bingwa inailazimu ishinde mechi zake zote ikiwamo mechi za Azam. Baada ya kufunga mechi zote iombee njaa kuu Simba Sc. Kwamba Simba hii hatari na tishio Africa bigwa mtarajiwa wa CAF Champions 2019/2020 ifungwe hivi:-
Ifungwe mechi 3 na kudroo 1
Ifungwe mechi 2 na kudroo 4
Ifungwe mechi 1 na kudroo 7
Isifungwe mechi na idroo 10
Jambo ambalo ni sawa na ngamia kupenya katika tundu la sindano
Kwa mazingira hayo natangaza rasmi Simba ni bingwa na TPL.
Yanga ikaze matako Azam Cup
Msimu huu ni mwepesi kuliko uliopita ambapo timu haikua chini ya Zahera
Huyu Zahera asingekua muongeaji na angekua hana pesa za kuwapa posho wachezaji wake asingekua Yanga
 
Back
Top Bottom