Naitilia shaka Flamingo restaurant (Dar Intl Airport)

Naitilia shaka Flamingo restaurant (Dar Intl Airport)

Ifike pahala kila kitu kiwe wazi
Huo Usememao Ndiyo Ukweli Ila Mchungu
Kumbuka Haya Yalikuwa Yanafanywa Na Watu Wakubwa Kwa Nyadhifa Zao. Wakati Mwingi Inajulikana Tatizo Hatua Hakuna
 
Mleta mada umeongea ukweli
Walinzi pale muda wote nyuso zao ziko worried na movements zao ni za mashaka
 
Hv hawa watumia madawa ya kulevya hawaonagi hata kinyaa kuwa wanakula mavi ya mtu,,,ptuuuu
 
Mgahawa huu umulikwe kwa makini zaidi
 
Ukifika Dar Intl Airport na ukaingia pale FLAMINGO RESTAURANT kama upo makini utagundua movements zisizo za kawaida yaan kama kuna biashara isiyo ya kawaida inafanyika pale yaani kuanzia wahudumu na wale walinzi wa kimasai wanakuwa na wasi wasi sana.

Pia kuna baadhi ya vyumba vyoon havifunguliwi muda flani na mara kadhaa unasikia mtu anagugumia humo ndani tena kwa kipindi kirefu. FLAMINGO RESTAURANT mnauza chakula/snacks/vinywaji tu jamani? mbona kama mna zaidi ya hii biashara ya msosi?
Msifuuuu anaekukimbizaa acha tusijisifu tunaekimbia n shida
 
waweke kamera kila kona pale airport kuna vibaka wanakwapua vitu kwenye mabegi ya watu
 
Back
Top Bottom