Kulikuwa na kipande cha ziada ambacho nilikitumia kama konekta, alaf konekta nikaweka mfukoniHapa haukuelewa swali lake.... Bomba likikatika.... Hauwez kupata kipande chenye ukubwa hadi wa kuingia ndani ya bomba lingine'!?
Wewe uliungaje au ilo bomba lilikuwa lina bomba la akiba ndio ukalivuta!??
HaswaaaMapambano yanaendelea!!!! Aluta Continua
Watoto zetu ni mitihani nyinyi acha tuBmkubwa alizimia.... Kuna mdogo wangu wakike alilia hatari, simu yangu ikaanza kupigwa kwafujo zote manamba mageni ndio usiseme nikawa nawachora2 sikupokea. Baada yamda nikamtafuta msela nikampanga akawa kapiga namba yamdingilili akamueleza kuwa walikuta nimejinyonga nawakanichukua kunipeleka hsptl, nilipofikishwa hsptl wakagundua sijafa ila nilikuwa nimezimia. Ndo sasa nikaanza kuwaendesha navyotaka mimi mtoto nikageuka kuwa mkubwa nawenyewe wakageuka watoto
Songea nimekaa sana . Tuendelee kuwa pamoja.Aiseee safi kwa kipaji kizuuri cha kusimulia.... Watu kibao wana matukio mazito humu.. Shida ni kusimulia na kuandika
Mi mwenyewe ni mmoja wao... Siez kabisa kuandika kimtiririko hivi ....
Ila kwako ni big up mtiririko unamvutia saana msomaji....
Moonlight naijua na ni kweli ipo kuule nishawah kata maji pale miaka ya nyuuma....
Endelea ku analyse tu...
Hongera
Poleni wazaziWatoto zetu ni mitihani nyinyi acha tu
Asante Sana kiukweli ulezi mtoto akishafikisha 14 kwenda mbele ni mzito jamani mvi zimetujaa kwa stress na muda wote tunawasiwasi ka vibaka acha tuPoleni wazazi
Kuna bimkubwa mmoja huku kila siku anamtamkia maneno mabaya mtoto wake, sipati picha nawazazi wangu wangekuwa naakili kama zahuyu mama nahisi ningeshaokota makopo. Mtusamehe jamanAsante Sana kiukweli ulezi mtoto akishafikisha 14 kwenda mbele ni mzito jamani mvi zimetujaa kwa stress na muda wote tunawasiwasi ka vibaka acha tu
Wazazi tunawapenda mno na huwezi a mini huwa tunawasamehe hapohapo kinyume chake Hali ingekuwa mbaya mno, huyo ni wale wazazi wasojielewa Kuna Namna za kukabiliana na watoto watukutu kuvurumusha mineno michafu hapana, Kuna mama mmoja ana mtoto a nakula bangi, Unga na pombe zote unazojua ila ukikuta ana zungumza nae mpaka kijana analia na kumuomba msamaha yaani katika utulivu wa Hali ya juu mnoKuna bimkubwa mmoja huku kila siku anamtamkia maneno mabaya mtoto wake, sipati picha nawazazi wangu wangekuwa naakili kama zahuyu mama nahisi ningeshaokota makopo. Mtusamehe jaman
Duh nihatar sanaaaWazazi tunawapenda mno na huwezi a mini huwa tunawasamehe hapohapo kinyume chake Hali ingekuwa mbaya mno, huyo ni wale wazazi wasojielewa Kuna Namna za kukabiliana na watoto watukutu kuvurumusha mineno michafu hapana, Kuna mama mmoja ana mtoto a nakula bangi, Unga na pombe zote unazojua ila ukikuta ana zungumza nae mpaka kijana analia na kumuomba msamaha yaani katika utulivu wa Hali ya juu mno
Zikifika idadi kadhaa ya likes ntaweka nyingine mkuu