Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ubanifurahisha kuna visehemu huna haja ya kuandika kireeefu unarukia hitimisho tu

Mfano....."alijibamiza chini hadi nikamuonea huruma. Usiku wa siku hiyo ndio ilikuwa siku ya mwisho mimi kufanya kazi na kulala kwenye nyumba"

Wala hujajisumbua alivyojibamiza sijui akafoka akasema atamwambia mumewe na mumewe alivyokuja sijui ikawaje na blah blah kibao

Kongole mwana, pamoja
 
Bado inaendelea nimeishia 177#
 
Thanks man. Najaribu kufupisha isiwe ndefu sana.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nimecheka sana hadi machozi yametoka...eti hiyo hela kama mumelipia twisheni ya maisha.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…