Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

[emoji1] [emoji1] [emoji1] wakuu bhana "likes/thanks" ni kama motisha tu kujua kwamba kuna kundi kubwa la watu lipo nyuma yako likiku support kwa namna moja au nyingine.

NB: nimejibu kwa niaba ya mhusika.

Smart guy
Haya na wewe chukua hiyo [emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mwanangu akimaliza Analyse ni zamu yako
 
Sasa Hata ukiishi hapa poa!!! Nimekuheshimu bro! Na vimachozi vimenitoka! Baba yako ni mwanaume kama ulivyo wewe!! Ila safari bado itaendelea!! Thanks man
 
Nlmuhamishia shule nyingine

Aisee

Et anawaambia walimu wake

" i was too smart for the teacher of that school "[emoji28]

Teh yupo la nne
Mm wangu alikuwa mpole sana, ila alikutana na wakongwe waliomfundisha ubabe. Sasa yeye ndio kawa mbabe zaidi yao. Walimrudisha darasa ila jamaa yuko vzr kichwani hd walimpandisha tu.

This time nikasema wacha apumzike na masomo ya likizo, mtu mwenyewe ndio yuko class one tu. Ijmaa mwl wake alinipigia anasema mwanangu ni mtundu ila anachangamsha sana darasa km itawezekana nimruhusu wiki ijayo aanze kwenda shule.
 
Nilishakir mapema huko juu, ni role moadal wangu huyu mzee.
 
Hilo jina la mtoto wako asije akawa mtukutu kama T-bag wa prison break.T bag (Theodore)
 
Mwaka huu hakuna aliyepata mkuu si mpunga tu hata mahindi, karanga nk jua limepiga hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…