Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
ππππππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ[emoji3][emoji3][emoji3] sasa ukimwambia unadhani itakula kwa nani kama sio kwako mwenyewe
Unaenda wapi[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Haya bhanaNae huwezi kumuona bila kupitia kwangu [emoji3][emoji3]
Nani anataka kesi??Unaenda wapi
[emoji3][emoji3] kwa hiyo unaniachia mimi kesi? Ngoja na mimi nianzishe [emoji125][emoji125][emoji125]Nani anataka kesi??
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπππππππππππ[emoji3][emoji3] kwa hiyo unaniachia mimi kesi? Ngoja na mimi nianzishe [emoji125][emoji125][emoji125]
We ndo mana nahisi hunipendi..Vizuri unakula na wengine..Fanya unitumie basi..Kumbe hukuipata ile duuh, niliigawa sana kumbe mtu wa ndani kwangu hana. Muombe binti yako Heaven Sent akutumie kama bado anayo
Anayo tayari [emoji28][emoji28]Hujampa sasa, hebu fanya kumtupia PM
Sio hivyo mpenzi, ngoja nitafute nione kama nawezaWe ndo mana nahisi hunipendi..Vizuri unakula na wengine..Fanya unitumie basi..
Heaven Sent Douta nimekumiss..
Nilicheka sana, eti ukimpata nipe namba yake.......baba yuko very funnyAnalyse Mzee wako ana vituko, yaan ukipata dem akutongozeeππππdah so funny.
Asante kwa kushare.
Hapo mwisho umefupisha sana kumbe ulienda chuo?
pale kwenye moto uliopeperuka na jani ukuwasha eneo kubwa umenifurahisha sana kwa hilo jangaπ,,, yaani hayo masaibu sie panya alikimbia na moto kwenda kwenye ghala la jirani......siisahau hii siku kwa kipigo...duuu[emoji28][emoji28][emoji28] tucheke tu mkuu. Lakini usiombe
Unanishaurije sasa hapo mkuu?Hahahahaahahahah!
Utachelewa mkuu, shauri yako!
Duh niwewe kumbe?Twhteh....ulishaanza kunpotezea?
Naona umefunga PM. Nilitaka nikutumie maana uzi ulifutwa na mods so nikiweka hapa ni msalaWe ndo mana nahisi hunipendi..Vizuri unakula na wengine..Fanya unitumie basi..
Heaven Sent Douta nimekumiss..
Naomba link ya Samwel mdodo shem