Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

[emoji3][emoji3] kwa hiyo unaniachia mimi kesi? Ngoja na mimi nianzishe [emoji125][emoji125][emoji125]
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Analyse Mzee wako ana vituko, yaan ukipata dem akutongozeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚dah so funny.
Asante kwa kushare.

Hapo mwisho umefupisha sana kumbe ulienda chuo?
Nilicheka sana, eti ukimpata nipe namba yake.......baba yuko very funny
 
[emoji28][emoji28][emoji28] tucheke tu mkuu. Lakini usiombe
pale kwenye moto uliopeperuka na jani ukuwasha eneo kubwa umenifurahisha sana kwa hilo jangaπŸ™‚,,, yaani hayo masaibu sie panya alikimbia na moto kwenda kwenye ghala la jirani......siisahau hii siku kwa kipigo...duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…