Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

[emoji3][emoji3] kwa hiyo unaniachia mimi kesi? Ngoja na mimi nianzishe [emoji125][emoji125][emoji125]
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Analyse Mzee wako ana vituko, yaan ukipata dem akutongozeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚dah so funny.
Asante kwa kushare.

Hapo mwisho umefupisha sana kumbe ulienda chuo?
Nilicheka sana, eti ukimpata nipe namba yake.......baba yuko very funny
 
[emoji28][emoji28][emoji28] tucheke tu mkuu. Lakini usiombe
pale kwenye moto uliopeperuka na jani ukuwasha eneo kubwa umenifurahisha sana kwa hilo jangaπŸ™‚,,, yaani hayo masaibu sie panya alikimbia na moto kwenda kwenye ghala la jirani......siisahau hii siku kwa kipigo...duuu
 
Back
Top Bottom