Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Mungu akutangulie umalize vyema, Jah blessKuna maneno mazito humu,
Na kuna nilichojifunza, kuna jambo limewahi kunitokea kati yangu na mzazi mwenzangu same story na ya baba yangu
Linanitesa sana kifikra huenda nikizungumza na mzee wangu nitaelewa akimalizana nalo vipi
Nishaipata douta..Kuwa na amani..Chezea talaka nn..Kakimbia fasta pm kunitumia..Sinayo tena mweehMissing you too daddy
Aliyesababisha ufichike hivi simpendi hata ujuwe, yaani simpendi tu[emoji23][emoji23] You're missed sis darling.Sinayo tena mweehMissing you too daddy
Nishaipata douta..Kuwa na amani..Chezea talaka nn..Kakimbia fasta pm kunitumia..
Heaven Sent Huyo jamaa aliyekuficha mwambie aje kuchukua mahari yake..Nimeghairi kukuoza.
Aliyesababisha ufichike hivi simpendi hata ujuwe, yaani simpendi tu[emoji23][emoji23] You're missed sis darling.
Ndio huyo mkuu.
Analyse we ni mwanaume katika wanaume. Story yako nzuri sana na mpe heko mzee wako kwa kuwa mzazi bora. Asingekukazia usingekua hapo ulipo
Analyse we ni mwanaume katika wanaume. Story yako nzuri sana na mpe heko mzee wako kwa kuwa mzazi bora. Asingekukazia usingekua hapo ulipo
Acha kupagawa wewe....Mie nilidhani nmepitia magumu ila nmekunyanyulia mikono, babaako hana tofauti sana na babaang aiseee uwiiiii, kuna vijisehemu vimenitoa machozi kama mama nikawaza yule mwanang alipoteaga kwa masaa tu nilihisi kuzirai sembuse miaka yoteee ,hongera sana Mkuu
Na mimi ntumie ya samweli mamdogoMwingine anayetaka ya Samwel nitamtumia kwa leo, kuanzia kesho tafadhali usiniombe
Malizia kusoma comment hiyo uliyoquoteNa mimi ntumie ya samweli mamdogo
Nimemaliza kusomaMalizia kusoma comment hiyo uliyoquote
Nimemaliza kusoma
Hapana ni masaa 22 sasa tangu uandike hiyo koment ...Nimesemaje na wewe unaniambia nini
Pole, niliikopi jana kila anayeomba nikawa nampestia sasa hivi haipo tena na kukopi listori lote lile si kazi nyepesi jana nilipata tabu sanaa, Iabda anayetumia PC inaweza kuwa rahisiHapana ni masaa 22 sasa tangu uandike hiyo koment ...
Masaa tumetofautiana mkuu ...
Lakini all in all sio mbaya !
Sawa ubarikiwe !Pole, niliikopi jana kila anayeomba nikawa nampestia sasa hivi haipo tena na kukopi listori lote lile si kazi nyepesi jana nilipata tabu sanaa, Iabda anayetumia PC inaweza kuwa rahisi
[emoji28] [emoji28]Nenda jikoni kwa mama yako