Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

mmh wazaz kaz tunayo
 
Kwangu masharti yote mawili niliyaona magumu, tena sana. Namtoa wapi mjerumani au muisrael? Pia hao vichaa, sawa hata tukiwapata, ni vipi tutaweza kuwadhibiti tukiwa nao (maana vichaa wanajulikana mambo yao),mnaweza mkaona hazina, yeye ghafla akatimua mbio, sasa kama wao ndio kinga, hapo tufate hazina au tuwakimbize? Na bora angekuwa mmoja, wapo wawili. Vipi kila mmoja akikimbia na njia yake?

[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
 
Hahaha we jamaa ila analyse huyu mzee nampataje aisee

Niwakutanishe na mzee wangu

Nahisi wanaweza gundua kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…