Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh wazaz kaz tunayoBmkubwa alizimia.... Kuna mdogo wangu wakike alilia hatari, simu yangu ikaanza kupigwa kwafujo zote manamba mageni ndio usiseme nikawa nawachora2 sikupokea. Baada yamda nikamtafuta msela nikampanga akawa kapiga namba yamdingilili akamueleza kuwa walikuta nimejinyonga nawakanichukua kunipeleka hsptl, nilipofikishwa hsptl wakagundua sijafa ila nilikuwa nimezimia. Ndo sasa nikaanza kuwaendesha navyotaka mimi mtoto nikageuka kuwa mkubwa nawenyewe wakageuka watoto
nitumie namimi mkuu nimechelewa kuona post yakoMwingine anayetaka ya Samwel nitamtumia kwa leo, kuanzia kesho tafadhali usiniombe
Mkuu unaelewa kiswahili si ndio?nitumie namimi mkuu nimechelewa kuona post yako
daah basi mkuu siku umerudisha moyo nyuma naomba nikumbukeMkuu unaelewa kiswahili si ndio?
Nitumie na mimiMwingine anayetaka ya Samwel nitamtumia kwa leo, kuanzia kesho tafadhali usiniombe
Umesoma lakini nilichoandika? Don't test meNitumie na mimi
funzo kubwa sana.Story ikiisha mods wanabid waunganishe hi story yote
Uchoyo mbaya. Sasa kama sikuona mapema?. Acha uchoyo huoUmesoma lakini nilichoandika? Don't test me
Mbona hata wewe mchoyoUchoyo mbaya. Sasa kama sikuona mapema?. Acha uchoyo huo
Mbona hata wewe mchoyo
[emoji3][emoji3]ndioNimekunyima nini?. Sema wewe ndo hutaki kunipa. Unaona nitafaidi sana ehe?
Acha hizo[emoji3][emoji3]ndio
Hakuna sehemu nimecheka hadi mwanangu anaamka kama pale anaelezea namna ya kuwadhibiti vichaa wawili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nmecheka
Hadi nmedondoka