Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Bmkubwa alizimia.... Kuna mdogo wangu wakike alilia hatari, simu yangu ikaanza kupigwa kwafujo zote manamba mageni ndio usiseme nikawa nawachora2 sikupokea. Baada yamda nikamtafuta msela nikampanga akawa kapiga namba yamdingilili akamueleza kuwa walikuta nimejinyonga nawakanichukua kunipeleka hsptl, nilipofikishwa hsptl wakagundua sijafa ila nilikuwa nimezimia. Ndo sasa nikaanza kuwaendesha navyotaka mimi mtoto nikageuka kuwa mkubwa nawenyewe wakageuka watoto
mmh wazaz kaz tunayo
 
Kwangu masharti yote mawili niliyaona magumu, tena sana. Namtoa wapi mjerumani au muisrael? Pia hao vichaa, sawa hata tukiwapata, ni vipi tutaweza kuwadhibiti tukiwa nao (maana vichaa wanajulikana mambo yao),mnaweza mkaona hazina, yeye ghafla akatimua mbio, sasa kama wao ndio kinga, hapo tufate hazina au tuwakimbize? Na bora angekuwa mmoja, wapo wawili. Vipi kila mmoja akikimbia na njia yake?

[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
 
Hahaha we jamaa ila analyse huyu mzee nampataje aisee

Niwakutanishe na mzee wangu

Nahisi wanaweza gundua kitu
 
Back
Top Bottom