Daah, mekumbuka mbali Sana, siku ya kwanza nimelanda landa Sana ubungo , her siku ya pili, ya tatu, mtu akiniuliza nasema nimekuja pokea mgeni, kumbe watu Wana kariri, baada ya wiki Kama mbili hivi jamaa ananiuliza vp una mgeni? Nkakwambia ndio toka Jana mekuja mpokea kumbe watu washa nikariri, nlisikia sauti sijui imetoka wapi watu wanasema muongo huo lazma atakua mwanga huyo maana kila siku yupo apo apo na ubaya ilikua nkitoka kuhangaikia tumbo nkifika tu ubungo Kuna sehemu nlikua napenda Sana kukaa hapo siondoki adi kunapambazuka, [emoji23]