Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...

Umenichekesha sana ety kama unazitaka stress utazipata shambani[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mzee kawafanyia utapel afu kadai mmemlipa hela ya tuition [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee mzee noma huyo
 
Safi sana analyse kwetu ni anyelwisye ni wale wale tu mikasa ni karibia ile ile.
Sema faza alikata moto mapema tu ila ilikua ni ile life ya mbio mbio tu.
Akitulia mtu poa sana,
ila akiamua pale home hapakaliki,na mara nyingi ilikua ni vita mimi nayeye tu.
Nimekuja kumuelewa badae sana maana maswali ya huyu ni mdingi wangu kweli?
Nishajiuliza sana.
Ila sura sasa.
Hasa hilo pua😂😂😂.
Hapo unakubali huyu dingi yangu tupambane tu.
 
Kilimo kimenigharimu hela zangu Sana three consecutive years nawaza pengine mambo yatakua Sawa lkn hola,changamoto ninyingi ktk kilimo chakitanzania,gharama zauendeshaji haziongei lugha Moja na soko,changamoto zahali yahewa,na ukosefu wa elimu juu yakudhibiti magonjwa ya mazao,nililima hekari 7,zaufuta 2018nikavuna chini yagharama nilizotumia,2019nikalima ekari kumi nkavuna chini yagharama zauendeshaji,2020nikalima ekari 30,tena na vibarua watano wakila nakunywa nyumbani kwangu kilichonikuta,ilibidi nikamuombe mama msamaha kwani nilikopa hela zake nikaendeshee kilimo,amewahi mara kadhaa kuniambia huwezi kufanikiwa ktk kilimo nikambishia ningumu,naukajaribu mtama,ekari kuminatano ,nkavuna chini yakiwango lkn,nimakuta soko liko chini mno,yaani soko liko chini Hadi nikaanza kumbembeleza wanunuzi,nilishangaa Sana,nimeapa kutombishia mzazi napia kilimo Kwa Tanzania licha yakua kinaitwa UTI wa mgongo daa! nikipengele kikubwa mno.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Pamoja chief. Tuzidi kupambana
 
Broh, usipokuwa mtu wa kujiongeza, hela zako zitaishia ardhini. Sio kila kitu ni chakila mtu, wapo watakaofanikiwa kwenye kilimo, lakini pia Kuna sisi ambao kilimo kitakataa. Usipojifunza kuadapt, ni rahisi kupoteana.
 
Dah nilikuwa naupita huu uzi jana usiku nikasema hebu leo niusome.. kumbe nilikuwa napitwa na mkasa makini..

Respect kwako Analyse. Najuta kuchelewa kuusoma huu mkasa..

Ila nimecheka sanaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…