Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Humu ndani hatuweki picha yako usikubalinimeshindwa kuweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu ndani hatuweki picha yako usikubalinimeshindwa kuweka
Hufai wewe...ndo nini sasa?Karibu Jf! Hulazimiki kuweka picha wala kutoa wasifu wako hapa. Natumaini umepata wasaa wa kupitia nyuzi mbalimbali na umeweza kubaini hilo. Hivyo unachoombwa sio lazima ukijibu au kubandika picha.
Ili tukuone, Au ww ulifikili ya nini?Picha yangu ya nini sasa?
Alichohitaji huyu ni Il iwe rahic kuwapata ndugu,jamaa NA marafki ambao tayr ni wanachama wa JF,kwa kutaja jna like ili ling'amuliwe fast.Tizama vinavyoendelea humu na ujifunze
Naona umenipa ban haina nomaaWeka picha yako kwenye hiyo avatar
Anakudanganya tusikilize sieAsante sikujua hilo
Wewe mzoefu, unajua wapi pa mawasiliano ya aina hiyo. Mgeni mkaribishe vizuri!Hufai wewe...ndo nini sasa?
hahahaha sasa nitamwoa nani humu?Unatakiwa uoe humu humu jf sawa,ukishaingia huku hakuna kutoka
anha sawaHumu ndani hatuweki picha yako usikubali
Wapo wengi tu na mimi nikiwemo utachaguahahahaha sasa nitamwoa nani humu?
asanteeUpo darasani mgeni usipige kelele pole pole
Ila kuwa makini na mapompolilo wamo humu
anhaa hata wewe unataka mume?Wapo wengi tu na mimi nikiwemo utachagua
Fata masharti ,usiulize sanaanhaa hata wewe unataka mume?
Kabla hujapewa wa kumuoa humu Weka kwanza namba za demu wako wa sasa ndiyo upate demu mpya.hahahaha sasa nitamwoa nani humu?
Mgeni gani anajua kuquote?Wewe mzoefu, unajua wapi pa mawasiliano ya aina hiyo. Mgeni mkaribishe vizuri!
nitumie email engineer@mbuludc.go.tzFata masharti ,usiulize sana
Teh..humu ni mwendo wa gizagiza, kuonana mambo ya fbIli tukuone, Au ww ulifikili ya nini?