Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Watu kama wewe mlikimbia umandeKila mtu alikuwa na kipaumbele chake.
Tunaweza kusema, ilikuwaje JPM akalifufua shirika la ndege lililokufa kwa miaka 6 Tu kwanunua ndege za kutosha huku Jk amekaa madaraka 10yrs na alishindwa.
Tunaweza kusema ilikuwaje JPM akajenga Hydro-plant huku zikiwa ndoto toka enzi za JKN.
Ilikuwaje in 6yrs JPM akajenga Daraja wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini huku toka Uhuru watu walisafiri Kwa shida.
Ilikuaje in 6yrs JPM akaanza kujenga SGR ya umeme, Dar to Mwanza huku wengine ilikuwa maneno tu.
Leta hoja yako acha porojoWatu kama wewe mlikimbia umande
Alikuwa anahujumiwa, angeweza kuajiri walimu wengi zaidi. Watu walikuwa wanahitaji zaidi basic needs kuliko flyovers ambazo ziko Dar es salaam tu. Ndege pia zilikuwa zinahitaji ila si kwa uwingi huoOngezea nyama kidogo chief, una hoja nzito
Mbona jk aliweza vyote. Wakati wake ndo uliongoza kwa mtandao wa barabara.
Magu hakuwa na hela za kuajiri.Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani
JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Ukweli mchuku kwa walinda legacy uchwaraKati ya Jk na JP mmojawapo alikuwa ni mtumishi wa shetani ndiomaana hakuwa na huruma,na mwingine alikuwa ni mtumishi wa Mungu ndiomaana alikuwa na huruma,alitaka kila mtu apate hata kipande kidogo cha sungura aliyekuwa anapatikana katika utawala wake.
Kulikuwa hakuna sababu ya kufanya hivyo wakati anajua bajeti ya serikali ndogo. Hivyo alikurupuka na hii ni shida ya kumpa mtu uraisi wakati hana uwezo nayoBarabara ni kitu kidogo sana haili hela nyingi kama bwawa la umeme . Ujenzi wa reli.
Bei ya kununua Ndege moja tu ni kubwa sana kuliko kujenga barabara
Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani
JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.
Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Si unajua tanzania wapumbavu ni wengi wale waliokuwa wanafurahia kutumbuliwa kwa wafanyakazi ili waje uraiani kufanana na hawa wajinga. Mjinga anafikiri siku zote watu wote wafanane naye ili apate reliefTuache maneno..tuitishe kura za maoni tujue nani ni nani? π π π π π . watanzania sio wajinga tena
Upuuzi tu. Vitu gani?Hizi nchi zote mnazoziona zimeendelea...wananchi wake wameuawa haswa...tena kwa sheria kali haswa...Watanzania mnapenda kudeka sana..Jk nchi ilimshinda kabisaa..sema alikuwa na mahusiano mazuri na wafanyabiashara na wahisan kutoka nje...JPM wananchi tulipigika lakin kuna vitu tuliviona...tena kwa muda mfupi...sasa hali ni mbaya kuliko unavyofikiria...
Mradi wenyewe wa umeme akamwachia Msala Samia. Hongera sana Mama sasa umeme unawaka kutokea Bwawa la NyerereKosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.
Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Magu hakuwahi kuwa kiongozi, alikuwa na ajenda zake, moja ubaguzi na kuua wapinzani wake. Hela iliyojenga uwanja wa ndege Chato, hospitali ya kitalii, daraja la Busisi-Kigongo kwa uchache ingeajiri watanzania wangapi. Yule alikuwa shetani asiye na mfanoJakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani
JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Duh!...una maana gani mkuu unaposema 'kuongozewa ?Ni kwa sababu JK alikuwa anaongoza nchi, wakati Hayati JPM yeye alikuwa anaongozewa; na kwa bahati mbaya sana hakuwahi kujua kuwa aalikuwa anaongozewa; yeye alidhani kuwa alikuwa anaongoza
Inabidi tufikie mahali tuache tabia ya kuwahujumu viongozi wetu
Waliokuwa wanahitimu walikuwa wachache.Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani
JPM hata mwaka mmoja tu alishi dwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezqje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa samia sijui ataimalizaje. Ndo mana anastrugle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Sawa ila pia hakua mkweli, saundi zilikua Mungu,chuki,uongo na visasi vilimjaa pia kiburi cha mamlaka na kufuru juuVipaumbele. Wakati wa JPM pesa ilielekezwa kwenye miundombinu ya reli, umeme na madaraja makubwa ya juu na chini. Hapo mbona ni rahisi tu kuelewa
Si unajua tanzania wapumbavu ni wengi wale waliokuwa wanafurahia kutumbuliwa kwa wafanyakazi ili waje uraiani kufanana na hawa wajinga. Mjinga anafikiri siku zote watu wote wafanane naye ili apate relief
Ndugu umepuyanga,suala la kikokotoo ni kaa la moto kwa watawala kwasabu mifuko ya hifadhi ya jamii imefanywa chanzo cha mapato ya serikali,ile percentage inayochangiwa na mwajiri ni geresha,we have to be realistic kwenye hii hoja,km ww ni mserikali ondoeni acheni geresha na ujanjaujanja.Siasa mingi wkt mnajua kiini cha tatizoWaliokuwa wanahitimu walikuwa wachache.
Mwendazake asingezingua Kuajiri hata Sasa walau 3/4 ya wahitimu wangeajiriwa .
Mama amekuwa anaajiri kati ya 8,000-12,000 Kila mwaka.
Hawa nyumbu waliokuwa.kwenye msoto eti nao wanadai kikokotoo na kusema mama hafai ππ
Wafuasi wa"jiwe" mnateseeeka, Mungu hadhihakiwi, he was a real saddistNa nyinyi wenye akili ndio mnatupiga kwa kutumia ofisi za umma na kutudharau sisi tusio na akili. Acha tujichagulie tunayempenda, hata kama hatuna akili.
Kura za watanzania zitaamua nani ni bora kati ya JK na JPM. Sio porojo zetu za kiswahili swahili mitandaoni π€£ π€£ π€£ π€£ π π π π π