Vitu vidogo,Nyerere aliwezaje kusomesha vijana vyuo vikuu, ndani na nje, bure, serikali iligharamia,
Aliwezaje kutoa ajira kwa kila kijana aliyemaliza kuanzia LA saba na kuendelea?
Ni Mambo ya idadi ya watu tu,
Kwa kikwete, shule zilikuwa chache,vyuo vya ualimu vichache pia, kwa hiyo Kuajili ilikua raisi, kila mhitimu alipata nafasi,
Shule za kata zimeanza kujengwa kipindi cha kikwete, 2005-2015, zilipokqmirika idadi ya wanafunzi, ni wengi, na mahitqji ya waalimu ni makubwa, na wahitimu wa ualimu ni wengi, shida, mfuko wa serikali hauwezi, Kuajili wote, pesa haitoshi,