Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Big up kikwete.Hivi hujui kuwa Mkapa aliacha Nchi haina deni hata Shilingi 1,na alilipa madeni yote.
Mambo ya mikopo ameyaanza Kikwete,na hizo fedha alitumia kwa kiasi kikubwa ku finance matumizi ya kawaida kuliko mengineyo.
Huyo Jpm ilitakiwa akuue wewe,mumeo,na wazazi wako wote ili maendeleo yawe zaidi ya sasa, maana mazuzu kama nyie na koo yako hamna faidaHizi nchi zote mnazoziona zimeendelea... wananchi wake wameuawa haswa... tena kwa sheria kali haswa... Watanzania mnapenda kudeka sana.. Jk nchi ilimshinda kabisaa.. sema alikuwa na mahusiano mazuri na wafanyabiashara na wahisani kutoka nje... JPM wananchi tulipigika lakini kuna vitu tuliviona... tena kwa muda mfupi... sasa hali ni mbaya kuliko unavyofikiria...
Umesahau na mishahara hewa, pesa za kuajiri zilikuwepo mpaka za mishahara hewa, Kwa Jk watu waliinjoy sana,Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiro graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Ghalama za ukarabato WA leli ziko Chini kuliko barabara kuzingatia mizigo mizito ndio huaribu barabara na ghalama za uchukuzi Kwa tani Kwa km ziko Chini kwa kuitumia reli kuliko barabara.Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.
Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Kama.hukujenga kipindi cha jk. Kwa jpm hata tofali tu ilikuwa issue. Hata bar ukienda ukanywa bia mbili we mwanaume. Lile jibwa lilikuwa lishetani kwa mara ya kwanja shetani alionekana tanzaniaUmesahau na mishahara hewa, pesa za kuajiri zilikuwepo mpaka za mishahara hewa, Kwa Jk watu waliinjoy sana,
Kwa kifupi JK alikuwa na kichwa kizuri, kichwa Cha baraka, Kila mtu na kichwa chake bhana
Kwa hali hii basi tungezikarabati reli zilizopo kwa gharama nafuu, badala ya kujenga reli nyingine mpya kwa trillions of money.Ghalama za ukarabato WA leli ziko Chini kuliko barabara kuzingatia mizigo mizito ndio huaribu barabara na ghalama za uchukuzi Kwa tani Kwa km ziko Chini kwa kuitumia reli kuliko barabara.
Km ingefanyika Kwa usahihi na bila huduma za wamiliki WA maroli.
Hivyo automatic maloli yangerud vijijin ambalo hakuna reli na ghalama za ukodishaji magari ya mizigo zingekuwa Chini.
Pia mizigo hasa inayopita ingetolewa bandarin Kwa wakati na kupelekwa Bandar Kavu ambazo zinge kuwa karibu na nchi jirani hivyo nafasi bandarin isingekua tatizo kiasi hicho,msibani WA tankers bandarin za mafuta ungepungua nk
Hilo ni Sawa ndo maana ya zamani haikutolewa.Kwa hali hii basi tungezikarabati reli zilizopo kwa gharama nafuu, badala ya kujenga reli nyingine mpya kwa trillions of money.
Nchi hii wajinga ni wengi sana na ndio ulikuwa mtaji wa lile shetani lenu la Chato.Tuache maneno..tuitishe kura za maoni tujue nani ni nani? π π π π π . watanzania sio wajinga tena
Nchi hii wajinga ni wengi sana na ndio ulikuwa mtaji wa lile shetani lenu la Chato.
Wafuasi wa"jiwe" mnateseeeka, Mungu hadhihakiwi, he was a real saddist
najua sio mfuasi wa jiwe wala wa awaye yoyote. My pact is with My Lord. Kwahiyo sidanganyiki. Nchi yetu imeharibiwa sana. Na mimi binafsi naamini, tulipo hapa sio pazuri hata kidogo. Tunaenda kwa kusuasua na kubahatisha. Katika hili nawaondoa awamu ya kwanza na ya pili.Wafuasi wa"jiwe" mnateseeeka, Mungu hadhihakiwi, he was a real saddist
Huyo mwendazake hakuweza kunununua kwa miaka minne vitabu vya mashule, ndiyo aweze kuajiri?Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
REA nafikiri ilianza kwa mkapaUmesahau kuanzisha mradi wa umeme vijijini REA.
Jpm aoJakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
jpm na JKN walipenda sana CCM kuliko Taifa.Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Wakuu kwanza wewe na Baba yako na Mama yako ndio tuendelee??Hizi nchi zote mnazoziona zimeendelea... wananchi wake wameuawa haswa... tena kwa sheria kali haswa... Watanzania mnapenda kudeka sana.. Jk nchi ilimshinda kabisaa.. sema alikuwa na mahusiano mazuri na wafanyabiashara na wahisani kutoka nje... JPM wananchi tulipigika lakini kuna vitu tuliviona... tena kwa muda mfupi... sasa hali ni mbaya kuliko unavyofikiria...
Jizi na jambazi kuu lilikuwa ni lile shetani lenu la Chattle huku likijificha kwa kuwaita wajinga nyie eti wanyonge!na mashetani mengine yaliyobaki, yanayowaibia watanzania kila siku yanataka tuamini ni malaika wema. Hatudanganyiki
Tuitishe kura za maoni. Watanzania waamue. Sio kuamliwa na wajanja wachache wanaonufaika na deals za mfumo. Then hapo haki itakuwa imetendeka.Jizi na jambazi kuu lilikuwa ni lile shetani lenu la Chattle huku likijificha kwa kuwaita wajinga nyie eti wanyonge!
HATUDANGANYIKI
Itisha tu.Tuitishe kura za maoni. Watanzania waamue. Sio kuamliwa na wajanja wachache wanaonufaika na deals za mfumo. Then hapo haki itakuwa imetendeka.
Hizi nyingine ni mastory tu kama yale ya marehemu Kibonde kwenye kipindi cha jahazi π π π π π π