Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hivi hujui kuwa Mkapa aliacha Nchi haina deni hata Shilingi 1,na alilipa madeni yote.
Mambo ya mikopo ameyaanza Kikwete,na hizo fedha alitumia kwa kiasi kikubwa ku finance matumizi ya kawaida kuliko mengineyo.
Mambo ya mikopo ameyaanza Kikwete,na hizo fedha alitumia kwa kiasi kikubwa ku finance matumizi ya kawaida kuliko mengineyo.