Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Kwamba reli ya SGR na daraja la Busisi ni hasara kwa taifa?Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.
Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Wewe ndiye MPUMBAVU,unataka watu wasifurahie kuondolewa kwa mfanyakazi fisadi,mzembe na mla rushwa?Si unajua tanzania wapumbavu ni wengi wale waliokuwa wanafurahia kutumbuliwa kwa wafanyakazi ili waje uraiani kufanana na hawa wajinga. Mjinga anafikiri siku zote watu wote wafanane naye ili apate relief
✍️📝👌👍👏🤝🙏🛡️Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
✍️📝👌👍👏🤝🙏💐🎁🛡️Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.
Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Kwa Jakaya ilikuwa ni kuila Nchi !Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Point ! 🙏Leta hoja yako acha porojo
Nia njema pia kwenye Richmond na pesa kwenye masandarusi !🙏Alikuwa anahujumiwa, angeweza kuajiri walimu wengi zaidi. Watu walikuwa wanahitaji zaidi basic needs kuliko flyovers ambazo ziko Dar es salaam tu. Ndege pia zilikuwa zinahitaji ila si kwa uwingi huo
Walimsoma wakamuweka kwenye kiganja, wakaanza kumuongoza
Hii nchi ukiwa na nia njema, inabidi utumie akili sana kuweza kuiongoza. Waangalie pia Lowasa na Kikwete kwenye nia yao njema ya miradi yao zikiwemo shule za kata.
Acheni uwongo.MAGUFULI HAKUWAHI KUJALI RAIA WAKE.
Mambo ni mengi sanaKwa Jakaya ilikuwa ni kuila Nchi !
Kwa Magufuli ilikuwa kuijenga Nchi ! 🙏
Jk alikuta pesa nyingi sana alizokusanya Mkapa.Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.
Nafikiri wengine walikua wanajua ugumu wa hayo yote kwakua walijua watatakiwa kutumia fedha nyingi ambazo nchi haina.Kila mtu alikuwa na kipaumbele chake.
Tunaweza kusema, ilikuwaje JPM akalifufua shirika la ndege lililokufa kwa miaka 6 Tu kwanunua ndege za kutosha huku Jk amekaa madaraka 10yrs na alishindwa.
Tunaweza kusema ilikuwaje JPM akajenga Hydro-plant huku zikiwa ndoto toka enzi za JKN.
Ilikuwaje in 6yrs JPM akajenga Daraja wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini huku toka Uhuru watu walisafiri Kwa shida.
Ilikuaje in 6yrs JPM akaanza kujenga SGR ya umeme, Dar to Mwanza huku wengine ilikuwa maneno tu.
Nawe mTanzania piaSi unajua tanzania wapumbavu ni wengi wale waliokuwa wanafurahia kutumbuliwa kwa wafanyakazi ili waje uraiani kufanana na hawa wajinga. Mjinga anafikiri siku zote watu wote wafanane naye ili apate relief
Mjomba Magu alikuwa na vision ya kuiondoa nchi hii kwenye visingizio vya kukosa maendeleoa.LAKINI HAKUWA NA MTAJI WA KUTIMIZA NDOTO HIYO,so sad.Kila mtu alikuwa na kipaumbele chake.
Tunaweza kusema, ilikuwaje JPM akalifufua shirika la ndege lililokufa kwa miaka 6 Tu kwanunua ndege za kutosha huku Jk amekaa madaraka 10yrs na alishindwa.
Tunaweza kusema ilikuwaje JPM akajenga Hydro-plant huku zikiwa ndoto toka enzi za JKN.
Ilikuwaje in 6yrs JPM akajenga Daraja wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini huku toka Uhuru watu walisafiri Kwa shida.
Ilikuaje in 6yrs JPM akaanza kujenga SGR ya umeme, Dar to Mwanza huku wengine ilikuwa maneno tu.
Approach yake ilikuwa mbovu san aalipaswa awaulize akina jk mana akili yake ilikuwa bado changa kujua mamboMjomba Magu alikuwa na vision ya kuiondoa nchi hii kwenye visingizio vya kukosa maendeleoa.LAKINI HAKUWA NA MTAJI WA KUTIMIZA NDOTO HIYO,so sad.
Walioshikiria mitaji mikubwa alitofautiana nao,wakampiga chini akabaki mtupu.
Kama Mjomba Magu angejua kula na kupuliza "soft touch kama JK"angetoboa.
Sijui somo la Historia lilimpiga chenga hakujua kwanini The mighty Mwl.Nyerere alishindwa vibaya kutimiza sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
Tatizo ni chama chake kilichomteua kugombea uraisi bila maanalizi ya uongozi wa taifa.Approach yake ilikuwa mbovu san aalipaswa awaulize akina jk mana akili yake ilikuwa bado changa kujua mambo
Nia njema pia kwenye Richmond na pesa kwenye masandarusi !🙏
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani
JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?
Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.
JK tunakukumbuka sana.