Kwani kati ya hao wawili ni nani angalau alionesha nia na kujitahidi kulinda rasilimali za taifa na kuwatoa tongo tongo kwenye baadhi ya mambo muhimu ambayo yalikuwa yanaendelea hapa nchini bila wanainchi kujua?
Kama wewe ni miongoni mwa wale mnaojiita watoto wa mjini mliokuwa mmezoea kuishi maisha rahisi ya shortcut na mawazo yako yameishia kwenye tumbo lako tu, ni lazima utakuja na thread za namna hii
Kama wewe ni miongoni mwa wale mnaojiita watoto wa mjini mliokuwa mmezoea kuishi maisha rahisi ya shortcut na mawazo yako yameishia kwenye tumbo lako tu, ni lazima utakuja na thread za namna hii