Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

Kwani kati ya hao wawili ni nani angalau alionesha nia na kujitahidi kulinda rasilimali za taifa na kuwatoa tongo tongo kwenye baadhi ya mambo muhimu ambayo yalikuwa yanaendelea hapa nchini bila wanainchi kujua?

Kama wewe ni miongoni mwa wale mnaojiita watoto wa mjini mliokuwa mmezoea kuishi maisha rahisi ya shortcut na mawazo yako yameishia kwenye tumbo lako tu, ni lazima utakuja na thread za namna hii
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
 
Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.

Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
Kwamba reli ya SGR na daraja la Busisi ni hasara kwa taifa?
Ole MPOMBAVU bebe?
 
Si unajua tanzania wapumbavu ni wengi wale waliokuwa wanafurahia kutumbuliwa kwa wafanyakazi ili waje uraiani kufanana na hawa wajinga. Mjinga anafikiri siku zote watu wote wafanane naye ili apate relief
Wewe ndiye MPUMBAVU,unataka watu wasifurahie kuondolewa kwa mfanyakazi fisadi,mzembe na mla rushwa?
PUMBAVU sana wewe.
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
✍️📝👌👍👏🤝🙏🛡️
 
Kosa kubwa la Magu ni kufikiri alikuwa na akili nyingi kuliko wananchi wengine. Miradi yake mingi aliyoianzisha haikuwa/haina faida kwa wananchi walio wengi.

Mfano badala ya kujenga reli ya kisasa, ni bora mara 100 angejenga barabara za lami nchi nzima! Badala ya kununua ndege, angejenga madaraja ya uhakika, vivuko vya uhakika, na stendi za kisasa nchi nzima!! Yaani kidogo ule mradi wa umeme ndiyo utagusa wananchi walio wengi. The rest naona kwa upande wangu ni hasara tu kwa Taifa.
✍️📝👌👍👏🤝🙏💐🎁🛡️
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Kwa Jakaya ilikuwa ni kuila Nchi !
Kwa Magufuli ilikuwa kuijenga Nchi ! 🙏
 
Alikuwa anahujumiwa, angeweza kuajiri walimu wengi zaidi. Watu walikuwa wanahitaji zaidi basic needs kuliko flyovers ambazo ziko Dar es salaam tu. Ndege pia zilikuwa zinahitaji ila si kwa uwingi huo
Walimsoma wakamuweka kwenye kiganja, wakaanza kumuongoza
Hii nchi ukiwa na nia njema, inabidi utumie akili sana kuweza kuiongoza. Waangalie pia Lowasa na Kikwete kwenye nia yao njema ya miradi yao zikiwemo shule za kata.
Nia njema pia kwenye Richmond na pesa kwenye masandarusi !🙏
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
Jk alikuta pesa nyingi sana alizokusanya Mkapa.
JK akawa mtumiaji tu.Laiti angekusanya na kuleta nidhamu ya pesa enzi za utawala wake,hii nchi ingekuwa mbali sana,ni vile aliyeipokea kutoka kwa JK alijitahidi kuleta nidhamu ya pesa na ile kudhulumu haki za watu k.v kikokotoo na mengine mengi vilimsaidia na hatukuona wazi maumivu aliyoacha JK
 
Kila mtu alikuwa na kipaumbele chake.

Tunaweza kusema, ilikuwaje JPM akalifufua shirika la ndege lililokufa kwa miaka 6 Tu kwanunua ndege za kutosha huku Jk amekaa madaraka 10yrs na alishindwa.

Tunaweza kusema ilikuwaje JPM akajenga Hydro-plant huku zikiwa ndoto toka enzi za JKN.

Ilikuwaje in 6yrs JPM akajenga Daraja wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini huku toka Uhuru watu walisafiri Kwa shida.

Ilikuaje in 6yrs JPM akaanza kujenga SGR ya umeme, Dar to Mwanza huku wengine ilikuwa maneno tu.
Nafikiri wengine walikua wanajua ugumu wa hayo yote kwakua walijua watatakiwa kutumia fedha nyingi ambazo nchi haina.

Ili JPM afanye haya yote ndiyo ikabidi asiajiri, ikabidi asitishe kuwalipa wenye vyeti feki, ikabidi tenda zitolewe kwa wale watu wa bodi ya uhandisi, ikabidi wafanyabiashara waminywe na hapo hapo ikabidi akope sana kuliko wengine.
 
Si unajua tanzania wapumbavu ni wengi wale waliokuwa wanafurahia kutumbuliwa kwa wafanyakazi ili waje uraiani kufanana na hawa wajinga. Mjinga anafikiri siku zote watu wote wafanane naye ili apate relief
Nawe mTanzania pia
 
Kila mtu alikuwa na kipaumbele chake.

Tunaweza kusema, ilikuwaje JPM akalifufua shirika la ndege lililokufa kwa miaka 6 Tu kwanunua ndege za kutosha huku Jk amekaa madaraka 10yrs na alishindwa.

Tunaweza kusema ilikuwaje JPM akajenga Hydro-plant huku zikiwa ndoto toka enzi za JKN.

Ilikuwaje in 6yrs JPM akajenga Daraja wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini huku toka Uhuru watu walisafiri Kwa shida.

Ilikuaje in 6yrs JPM akaanza kujenga SGR ya umeme, Dar to Mwanza huku wengine ilikuwa maneno tu.
Mjomba Magu alikuwa na vision ya kuiondoa nchi hii kwenye visingizio vya kukosa maendeleoa.LAKINI HAKUWA NA MTAJI WA KUTIMIZA NDOTO HIYO,so sad.
Walioshikiria mitaji mikubwa alitofautiana nao,wakampiga chini akabaki mtupu.
Kama Mjomba Magu angejua kula na kupuliza "soft touch kama JK"angetoboa.
Sijui somo la Historia lilimpiga chenga hakujua kwanini The mighty Mwl.Nyerere alishindwa vibaya kutimiza sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
 
Mjomba Magu alikuwa na vision ya kuiondoa nchi hii kwenye visingizio vya kukosa maendeleoa.LAKINI HAKUWA NA MTAJI WA KUTIMIZA NDOTO HIYO,so sad.
Walioshikiria mitaji mikubwa alitofautiana nao,wakampiga chini akabaki mtupu.
Kama Mjomba Magu angejua kula na kupuliza "soft touch kama JK"angetoboa.
Sijui somo la Historia lilimpiga chenga hakujua kwanini The mighty Mwl.Nyerere alishindwa vibaya kutimiza sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
Approach yake ilikuwa mbovu san aalipaswa awaulize akina jk mana akili yake ilikuwa bado changa kujua mambo
 
Approach yake ilikuwa mbovu san aalipaswa awaulize akina jk mana akili yake ilikuwa bado changa kujua mambo
Tatizo ni chama chake kilichomteua kugombea uraisi bila maanalizi ya uongozi wa taifa.
 
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani

JPM hata mwaka mmoja tu alishindwa na kuleta visingizio kibao eti hakuna nchi iliyoajiri graduate wote. Sasa swali linakuja JK aliwezaje?

Mass unemployment aliyoicha JPM mpaka sasa inamtesa Samia sijui ataimalizaje. Ndio maana anastruggle sana kuifanya sector binafsi ikue ili angalau kuwapunguza graduate waliopo mtaani. Hali ilikuwa mbaya sana enzi za JPM.

JK tunakukumbuka sana.
 
Back
Top Bottom