Najaribu kuwaza, kwa kasi hii ukubwa wa Deni la Taifa 2030 litakuwaje? Je, kuna haja ya kuhofu?

Najaribu kuwaza, kwa kasi hii ukubwa wa Deni la Taifa 2030 litakuwaje? Je, kuna haja ya kuhofu?

Sababu za Ukuaji wa deni ni seasonal,riba zikitengamaa na Shilingi kuimarika deni litashuka.

Hilo sio deni la kwanza kugonga headlines,lilikuwepo kubwa zaidi ya Hilo ila.likeshuka Kidogo na kadiri uchumi unavyoimarika Serikali inalipa na riba zitapungua.👇👇 View attachment 3016888
Sawa
 
Back
Top Bottom