Pre GE2025 Najiandaa kumburuza katibu mkuu wa CCM mahakamani kwa kuninyima haki yangu ya kikatiba ya kugombea urais 2025 kupitia CCM

Pre GE2025 Najiandaa kumburuza katibu mkuu wa CCM mahakamani kwa kuninyima haki yangu ya kikatiba ya kugombea urais 2025 kupitia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wana sababu, kina nani wana sababu?

Aliyependekeza jina la mgombea awe nani na apite bila kupambanishwa ni Mzee wa Chama, Jakaya Kikwete, ambae alikiri kwamba yeye sio mjumbe, na anashukuru kualikwa tu.


Baadae Mwenyekiti akasema ni Jakaya ndio alimwambia Rais "nipe hiyo maiki nikusaidie," baada ya yeye Mwenyekiti kukwama atumie utaratibu gani na kuomba ushauri kwa wazee.

Kabla ya hapo Mjumbe Kibajaji aliomba Mwenyekiti na Makamu watoke nje maana sio utamaduni wa CCM wao kuwa ndani. Unaendeshaje kikao cha kujipendekeza mwenyewe kuwa mgombea wa Urais ?

Mwenyekiti akakataa, akisema anataka mambo yawe wazi. Wazi kwa nani, kwake yeye amjue nani hamtaki ? Angekaa pembeni asingemwona kwenye TV kama sisi ?

Kwa mara nyingine tena, Rais mstaafu anaingia ndani ya kikao cha maamuzi na kufanya udikteta wa kuamua fate ya Urais. Alipofanya mara ya kwanza alikuwa outgoing president, akamkata Lowassa. (Sisemi Lowassa angekuwa bora kuliko Magufuli, naongea michakato ya kidemokrasia.) Leo tena kakata kila aliyekuwa na nia.

I lay the blame at the doorstep of Julius Nyerere.. He did it in 1985 for Mwinyi, and 1995 for Mkapa. Monkey see, monkey do. They are mimicking all the disastrous mistakes and misrule of the founding President.

We haven't found transformative, maverick leaders, to dare and upend those grotesquely undemocratic systems installed by Mwalimu Nyerere.
Labda track record ya Rais Samia na uwezo wa kutekeleza ilani ya chama ilikuwa deciding factor. Nitaamini pia kwamba majina yalipendekezwa kwa kuzingatia watia nia wengine ambao hawakuwa rasmi. Labda Chama kinawafahamu wanasiasa wake kuliko watazamaji wa mbali kama sisi
 
Sio wewe peke yako kuna wengine wamenunua na kuvimba kama vyura kwenye mkutano ila ndio hivyo tena
Jipange mwaka 2080
 
Watch your steps ,usije ukajikuta kwenye bwawa la viboko na mamba au kwenye mtaro unaelea.
 
Mimi nilijiandaa na nimejiandaa kugombea urais kupitia CCM 2025 kwa kuwa uwezo ninao na nimekidhi vigezo vya kuwa mgombea halali kupitia CCM !

Nashangaa Leo mkutano unaadhimia tu bila kuuliza ni wangapi wana nia ya kugombea nafasi hiyo ! Sijalizishwa na maamuzi yaliyotolewa hivyo najiandaa kwenda kuweka zuio mahakamani la kupinga mchakato wote wa Leo ambao Mimi nadiriki kuuita haramu !

Mahakama inisaidie katibu mkuu anipe fomu ya mimi kugombea na inipe haki ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea nafasi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Hili hata mimi nililiona jana, nenda huko kwa pilato wao, labda watakusilikiza
 
Daaaaa wameogopa kivuli chao sasaa....wamehepa kila Raiswjaye atafanya same same ......Chama hakina wakubwa kukemea hata wazee wamemgwaya bibi yule ???
 
Kilq la heri .usisahau kuleta marejesho .siku hizi hata Rais wa nch anaweza kukamatwa kufunguliwa mashitaka hata kupigwa viboko sembuse Katibu wa chama.
 
MMM hata kumtangaza makamu wa raisi nilishtuka ,ila poa tu mimi nitagombea uraisi wa kampuni yangu ya kuuza maandazi na vitumbua hizo nyingine watu wanajipanga aisee mapema mfano Rais wa TFF naona wamemtangaza mgombea mapema (yaani huo ni mfano) sasa sisi wengine demokrasia iko wapi?
 
Kabla hujafika mahakamani utakuwa huonekani.
 
Mimi nilijiandaa na nimejiandaa kugombea urais kupitia CCM 2025 kwa kuwa uwezo ninao na nimekidhi vigezo vya kuwa mgombea halali kupitia CCM !

Nashangaa Leo mkutano unaadhimia tu bila kuuliza ni wangapi wana nia ya kugombea nafasi hiyo ! Sijalizishwa na maamuzi yaliyotolewa hivyo najiandaa kwenda kuweka zuio mahakamani la kupinga mchakato wote wa Leo ambao Mimi nadiriki kuuita haramu !

Mahakama inisaidie katibu mkuu anipe fomu ya mimi kugombea na inipe haki ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea nafasi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Utakuwa Rais mjinga asiyejua hata lugha ya Taifa lake!
Jifunze kwanza lugha kabla ya kufikiria Urais.
Ni hivi, siyo mkutano Mkuu umeadhimia × ni mkutano Mkuu umeazimia✓ ( azimio) hakuna neno adhimio× labda wewe ni mpare!
Siyo Sijalizishwa× ni sijaridhishwa✓!
Hatuwezi kuwa na Rais boya kama wewe!
 
Labda track record ya Rais Samia na uwezo wa kutekeleza ilani ya chama ilikuwa deciding factor. Nitaamini pia kwamba majina yalipendekezwa kwa kuzingatia watia nia wengine ambao hawakuwa rasmi. Labda Chama kinawafahamu wanasiasa wake kuliko watazamaji wa mbali kama sisi
Sio kweli
 
Utakuwa Rais mjinga asiyejua hata lugha ya Taifa lake!
Jifunze kwanza lugha kabla ya kufikiria Urais.
Ni hivi, siyo mkutano Mkuu umeadhimia × ni mkutano Mkuu umeazimia✓ ( azimio) hakuna neno adhimio× labda wewe ni mpare!
Siyo Sijalizishwa× ni sijaridhishwa✓!
Hatuwezi kuwa na Rais boya kama wewe!
Acha us----e. Nge wa primary
 
.
 

Attachments

  • downloadfile.png
    downloadfile.png
    290.1 KB · Views: 3
Mimi nilijiandaa na nimejiandaa kugombea urais kupitia CCM 2025 kwa kuwa uwezo ninao na nimekidhi vigezo vya kuwa mgombea halali kupitia CCM !

Nashangaa Leo mkutano unaadhimia tu bila kuuliza ni wangapi wana nia ya kugombea nafasi hiyo ! Sijalizishwa na maamuzi yaliyotolewa hivyo najiandaa kwenda kuweka zuio mahakamani la kupinga mchakato wote wa Leo ambao Mimi nadiriki kuuita haramu !

Mahakama inisaidie katibu mkuu anipe fomu ya mimi kugombea na inipe haki ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea nafasi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nilijiandaa na nimejiandaa kugombea urais kupitia CCM 2025 kwa kuwa uwezo ninao na nimekidhi vigezo vya kuwa mgombea halali kupitia CCM !

Nashangaa Leo mkutano unaadhimia tu bila kuuliza ni wangapi wana nia ya kugombea nafasi hiyo ! Sijalizishwa na maamuzi yaliyotolewa hivyo najiandaa kwenda kuweka zuio mahakamani la kupinga mchakato wote wa Leo ambao Mimi nadiriki kuuita haramu !

Mahakama inisaidie katibu mkuu anipe fomu ya mimi kugombea na inipe haki ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea nafasi ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Hii nakuunga mkono , ni haki ya wanachama kutia nia na kuomba kuchaguliwa katika taratibu halali wa kichama, na kupigiwa kura za ndio au hapana, upo sawa mkuuu
 
Back
Top Bottom