asante sana,me nimeshakunywa,nakusubiri urudi
meshibajeee!
Sa skia!
ACHANA NA KUJITAZAMA UNAANGUKA KATIKA NINI ,TAZAMA U BORA KATIKA NINI!
ITAKUSAIDI KUONA ULIVYO WA THAMANI NA KUUVAA UTHAMANI HUO!
LAKINI ITAKUSAIDIA PIA HATA KUTAFUTA MATIBABU WITH A POSITIVE MIND,KWA IMANI KUWA HIYO SIO LAANA!
kwa kuanzia
hebu badili mfumo wako wa ulaji
kula zaidi mboga za majani maji kwa wingi,amtunda
punguza au acha kabisa matumizi ya nyama nyekundu hususan ya ng'ombe.
pumzika muda mrefu
lala mapema
fanya mazoezi
achana na kutafuta kimbilio la kula kila unachokiona kufidia upweke wako!
halaaaafu kingine hebu tafuta hobbies na uziishi
angalia movie
ongea umbea wa insta(enh story za ally kiba na jet yake na zenyewe zinasogeza siku)
jifunze mapishi mapya
anzisha kajiproject hapo home,maua,fuga kuku,paka (UKIONA VIUMBE WENGINE WANAKUA NA KUFURAHI KWA AJILI YAKO IT WILL GIVE UR LIFE A TOTAL MEANING OF EXISTENCE NA KUTEGEMEANA )
furahia marafiki ulio nao,tumia vipawa vyao kuwa na furaha!
nenda uangalie movies(mlimani city kuna kichupa cha hatar Dec 02 ,yani ijumaa hii!)kama upo dar nenda asee
saidia wengine kufurahi,utaona kuwa maisha yako yana thamani kwa wengine kwa vile watakavokuthamini!
HIVI UKIMIX NA MSAADA WA KITABIBU KAMA KUCHECK DAMU,NA KUPATA DAWA NA KUZITUMIA!
aseeeeee utaona maisha yalivyo jambo jema na a kheri WITH OR WITHOUT NGOZI YA KUTELEZA KAMA UNAOGEA MAYONAISE!
sawa?
HEBU FANYA HII uje unipe feedback by pasaka mwakani!