Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Ngoja nikusaidie dada kwani watu wengi wanakutia hofu bure, hofu inayohusiana na "mauaji" na mimi sina haja ya sababu zinazokusukuma kwenda kutoa mimba, mimi nimeguswa na UVUMI kwamba kutoa mimba ni Mauaji.

Nasema hivi; kutoa mimba sio uuaji bali inawezekana ikawa ni kosa tu kama makosa mengine mbali na uuaji.

Kuua ni kutoa uhai wa kitu chenye uhai unaojitegemea, mfano kama utazaa mtoto na ukamuua hapo utakuwa umefanya mauaji na utakuwa na hatia mbele za Mungu na serikali.

Mtoto anapokuwa tumboni uhai wake sio wa kujitegemea bali ni uhai unaomtegemea mbeba mimba, ni mbeba mimba ndio mwenye sauti na power juu ya mimba iliyomo tumboni mwake hii ni sawa na mtu anakuwa na sauti na power na kiungo cha mwili wake, mfano mtu akiamua kukata kidole chake hapo kuna jinai au mauaji???, kidole ni sehemu ya mwili jinsi mimba ni sehemu ya mwili wa mbeba mimba na hata kuna wakati mimba hukaa vibaya tumboni ili kunusuru uhai wa mama Madaktari huamuru mimba hiyo itolewe na wala hawasemi kwamba hapo ni kufanya mauaji, mimba inapotolewa katika hali hiyo ni sawa na mtu mwenye kiungo chenye kansa na Madokta wakashauri kiungo hicho kikatwe.

Kuua ni kuondoa uhai wa kiumbe chenye uhai wake binafsi, uhai usiotegemea kiumbe mwingine, mimba haina uhai wake binafsi, mwenye sauti, amri na power juu ya mimba ni mbeba mimba.

Kutoa mimba sio kuua, kama kuna mtu anao ushahidi kutoka katika vitabu vya dini na aulete hapa.

Kutoa mimba bila sababu za msingi ni kosa kama makosa mengine lakini sio KOSA LA MAUAJI.
Kama kutoa mimba sio kosa aliweka ya nini, si akachomoe na kizazi kabisa ili asiwe na mawazo au taabu za kutoa.
 
Usipotoshe vijana walio potoka tayari,waelimishe kwa elimu yako ulio nayo pengine utaokoa jamii,ww hapo ungetolewa ukiwa tumboni usingeandika huu upuuzi hapa.

Mimba iheshimiwe tangu siku inapotungwa ,ni makosa makubwa kuharibu uumbaji wa mwingine kisa tu ww una maamuzi ya kufanya chochote juu yake,huo ni ubinafsi wa kuzani ww ndio una sitahili zaidi kuendelea kuwepo.Huo ni uhai wa mtu kama uhai mwingine.

Ukiwa unatoa na ww utoweke ,mi nazani ndio itapendeza zaidi.
Kabisa. Boya sana huyo. Yeye wazazi wake wangetumia hizo akili angekuwapo hapa...... Pumbavu zake..... Majitu mengine mabao yao yalitakiwa yaishie kwenye condom au lingekuwa bao la punyeto tu.
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Fikiria mama yako angekuwa na akili na mawazo hata uamuzi kama vyako ungekuwa wapi? Acheni kuzini zini hovyo mtaumia baadaye mkikumbuka mliowaua kwa ujinga na tamaa zenu
 
Nyie ndo wale baadae kikiumana mnakimbilia kwa waganga kwamba mmelogw hampat watoto kumbe ndo hivi mnajiharibia kwa kweli si kushauri ufanye huo u$enge
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa

Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
We nenda kacholopoe hiyo mimba ila siku ukidhani upo tayari kuzaa ukahangaika bila mafanikio ndo utajua hujui
 
Hata mimi mnanichosha pia kwa kutokunielewa; labda nibadilishe tune na hoja iwe hivi:- je kutoa mimba (zygote) kutoka kwa mama mjamzito ni sawa na kuua MTU aliyekuwa hai???--- hii hasa ndiyo mada.

Tumbo la mama ni sawa na kiwanda cha kutengeneza bidhaa, bidhaa ikishaundwa na kukamilika na kukidhi viwango hapo inapata sifa ya kuwa bidhaa kamili, sasa utasemaje mimba iliyotolewa ambayo sio KAMILI IWE NI MTU, Kwani MTU ni nini???---Tafuta definition ya mtu kwanza ndipo uje useme mimba ni MTU.

Maana ya independence in this regard mfano wake ni huu:- Mama mjamzito kwa bahati mbaya akifa na ujauzito je huo ujauzito nao utabaki kuwa hai???, na anapozikwa je husemwa wamezikwa watu wawili au huwa anapasuliwa halafu mimba inazikwa peke yake na mama peke yake???--- nauliza maswali hayo ili uvute fikra zako kwa ukaribu, halafu tugeuze sarafu upande wa pili; kama mimba itakufa na ikatoka (miss carriage) je hiyo mimba itazikwa kwa taratibu zote za mazishi kama anavyokufa mtu independent??, je mbeba mimba naye anaweza kufa katika hali ya kawaida baada ya misscarriage???




Ukimpiga mtu risasi na akafa sio sawa na kuipiga mimba risasi, hiyo itasemwa umempiga mjamzito risasi au mjamzito katolewa mimba yake kwa case hiyo mimba inakuwa ni part ya mwili wa mbeba mimba, na hiyo huwezi kukanusha, huwezi kuitaja mimba bila kumtaja mbebaji na huwezi kutoa mimba hewani ni lazima itolewe kutoka kwa mbebaji.

Nataka andiko kutoka kwenye vitabu vya dini linalosema kutoa mimba ni sawa na kuua mtu, au Mungu alisahau kuleta andiko au hakujua kwamba utoaji wa mimba utakuwepo duniani??




Najua kwamba ili mimba itunge ni lazima sperms zikutane na yai la mama, mimi nilikuwa namjibu mtu mmoja aliyeniuliza kama mimi ningetolewa nikingali mimba ingekuwaje ndipo nikampa mfano wa Sperms za nduguze walioachwa kipindi yeye akiingia ndani ya yai ili aje duniani kama Mtu, hapo tofautisha kati ya Mtu na Zygote.

(Find the difference between man and Zygote.)



Ninaposema independence maana yangu ni independence katika 1---Chakula nje ya womb,2-- Hewa nje ya Womb, 3--- kujitambua nje ya womb, 4--- Hisia nje ya womb nk, hapo sasa huyo ndiye Mtu ambaye ukimuua unayo hatia hata siku ya kiyama atasimama kutoa ushahidi kwanini ulimuua, siku hiyo ya Qiyama naye atakuwa na daraja kama mtu, je siku ya Qiyama mimba zilizotolewa zitakuwa na daraja kama WATU???




Ndicho hicho ninachosema kwamba mimba ikizaliwa tu awe njiti au katika hali yoyote ukiua tu basi wewe unayo hatia ya kuua MTU kwasababu huyo tayari alikuwa na independent life.

Hitimisho:-

Narudia kusema; kutoa mimba bila sababu za msingi ni kosa mbele ya Mungu lakini sio kosa linalolingana na Mauaji ya Mtu.---Haiingii akilini kusema kwamba kutoa mimba ni sawa na kuua mtu anayetembea barabarani.
Tofauti ni nini?
 
If is that your final decision, usiende kutoa mimba uchochoron hakika utakufa nayo au itakuacha na dosari ya maisha kwasababu mimba ya miez minne n kubwa haiwez kunyofolewa ovyoovyo, hakikisha unaenda kwa mtaalam aliyebobea ili necessary procedure km kusafisha kizaz zifuate after abortion.

Another time my sister be careful if you really don't need pregnancy know your menstruation cycle and engage sexually in safe days only au waweza kwenda kituo Cha afya na kuomba ushaur wa kutumia uzaz wa mpango .

[emoji419]Jali afya yako it's every thing.
Ni umbumbumbu wake tu. Huko Canada hata visichana vya miaka kumi na vinapewa vidonge vya kuzuia mimba, yeye kajaa ujinga tu.
 
Kama kutoa mimba sio kosa aliweka ya nini, si akachomoe na kizazi kabisa ili asiwe na mawazo au taabu za kutoa.


Hivi nyie watu mnasoma vyema ninachoandika??!!---- msitake niamini kile kinachosemwa kwamba watz wengi walikwenda shule kuhudhuria madarasa tu na wala sio kujifunza na kuelewa (learning to understand).

Nasema hivi; KUTOA MIMBA BILA SABABU ZA MSINGI NI KOSA KAMA MAKOSA MENGINE ANAYOWEZA MTU KUFANYA ila kosa hilo halifanani na kosa la kuua mtu, yaani mtu achukue silaha, sumu nk, na akaenda kuua mtu tuseme mpita njia halafu aje mtu aseme kosa hilo ni sawa na KUTOA MIMBA???!!, ninachopinga mimi ni kunathibisha utoaji mimba na Uuaji wa aina hiyo ambao watu wengi wamekuwa wameshadia na kuuhalalisha kimakosa kama ni sawa na mauaji ya MTU binafsi (an individual).

Nadhani mtakuwa mmenielewa.
 
Siku Sir God anakuhukumu atatumia ushahidi huu kwamba mpaka sms ukatuma jf na ukapewa maoni usitoe/usiuwe kiumbe wake....
 
Back
Top Bottom