Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Wakuu I'm fed up with life
Nimechoka na haya maisha
Familia yangu ilikuwa sawa even my kids Ila wamei-block
Biashara zangu wame-block
Everything is down now.
Kwa mtu yeyote anayejijua ni mchapakazi na mtu anayejitambua don't expose ur progress to anybody. hasa familia yako.
Maaumzi yangu nimechukua sasa
Naenda mbali na ndugu
Naenda mbali na familia
Naenda mashariki ya mbali
Nitakuwa natafuta hela na kula bata tu.
Sitomsaidia mtu yeyote anaitwa ndugu ,mzazi au mwanaukoo
Hawa wamehusika Kwa 90% kuniangusha Financially ,na kiroho.
Nimechoka na haya maisha
Familia yangu ilikuwa sawa even my kids Ila wamei-block
Biashara zangu wame-block
Everything is down now.
Kwa mtu yeyote anayejijua ni mchapakazi na mtu anayejitambua don't expose ur progress to anybody. hasa familia yako.
Maaumzi yangu nimechukua sasa
Naenda mbali na ndugu
Naenda mbali na familia
Naenda mashariki ya mbali
Nitakuwa natafuta hela na kula bata tu.
Sitomsaidia mtu yeyote anaitwa ndugu ,mzazi au mwanaukoo
Hawa wamehusika Kwa 90% kuniangusha Financially ,na kiroho.