Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa na misimamo kama yako ila nimeanza kuamin haya mambo yapo. Kuna ndugu nilipowin win nikawa nawaita kufanya nao mishe mishe ila wale watu ni full mambo ya waganga. Show inaanza niliota nitaporomka sana, baada ya hiyo ndoto kilichofuata sijaamini. Hadi leo nakukuruka kurud nilipokuwa. Kuna vitu nimevisikia wale ndg wakisema huko walipo. Haya mambo yapo japo sitakaa niyashiriki. Mungu alivyoniotesha kuanguka naamin ataniotesha tena mwisho wa kuangukaHawana huo uwezo kufeli ni kawaida ila kufikria wamefanya hivyo kwa miujuzi ni imani mbaya .
Hakuna mtu mwenye uwezo huo.
Hayo mawazo ya kwenda mbali kwanini unajiwazia mwenyewe, kwanini usiende na familia yako?? Wewe ukale bata familia yako aangalie nani?Wakuu I'm fed up with life
Nimechoka na haya maisha
Familia yangu ilikuwa sawa even my kids Ila wamei-block
Biashara zangu wame-block
Everything is down now.
Kwa mtu yeyote anayejijua ni mchapakazi na mtu anayejitambua don't expose ur progress to anybody. hasa familia yako.
Maaumzi yangu nimechukua sasa
Naenda mbali na ndugu
Naenda mbali na familia
Naenda mashariki ya mbali
Nitakuwa natafuta hela na kula bata tu.
Sitomsaidia mtu yeyote anaitwa ndugu ,mzazi au mwanaukoo
Hawa wamehusika Kwa 90% kuniangusha Financially ,na kiroho.
Mkuu sio hivyo kwamba wana nguvu ,sioni kama kuna ukweli basi wangetumia huo uchawi wafike juu...Kiasili kabisa bila ya uchawi usipende kutangaza mambo yako ,kama kipato na siri ya mafanikio yako... Inawezekana sio ndugu ila ni asili tu imeamua ,unaweza kufukuzwa kazi ukasema ndugu wameniroga.Mkuu
Nilikuwa na misimamo kama yako ila nimeanza kuamin haya mambo yapo. Kuna ndugu nilipowin win nikawa nawaita kufanya nao mishe mishe ila wale watu ni full mambo ya waganga. Show inaanza niliota nitaporomka sana, baada ya hiyo ndoto kilichofuata sijaamini. Hadi leo nakukuruka kurud nilipokuwa. Kuna vitu nimevisikia wale ndg wakisema huko walipo. Haya mambo yapo japo sitakaa niyashiriki. Mungu alivyoniotesha kuanguka naamin ataniotesha tena mwisho wa kuanguka
Mungu akuguseWakuu I'm fed up with life
Nimechoka na haya maisha
Familia yangu ilikuwa sawa even my kids Ila wamei-block
Biashara zangu wame-block
Everything is down now.
Kwa mtu yeyote anayejijua ni mchapakazi na mtu anayejitambua don't expose ur progress to anybody. hasa familia yako.
Maaumzi yangu nimechukua sasa
Naenda mbali na ndugu
Naenda mbali na familia
Naenda mashariki ya mbali
Nitakuwa natafuta hela na kula bata tu.
Sitomsaidia mtu yeyote anaitwa ndugu ,mzazi au mwanaukoo
Hawa wamehusika Kwa 90% kuniangusha Financially ,na kiroho.
Hujambo?😹😹😹 Mxieeeeww.!!
Sijambo shem ulipotelea wapi?Hujambo?
Sijambo shem ulipotelea wapi?