Najihisi kumpenda mwanaume huyu wa JF Vladimirovich Putin

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wallah vile najikuta nacheka tu mie na majibu yako Putin.

Huu ndio ukweli unaousema sasa huwezi mjibu mtu vibaya sababu huwa kuna madhara kama usemavyo.

Haya mie napita tu. [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
mmmh aisee
 
Mkuu mimi wala sina tatizo ila nilimquote jamaa aliyeonyesha wasiwasi kuhusu mwanzisha uzi

Hongera kwa kupendwa kiongozi
 
Mimi kipindi nipo kidato cha 5, secondary fulani. Nikiwa nimekaa chini ya mti, akaja mdada niliyesoma nae darasa moja. Baada ya salamu akaniambia "kibuyu nakupenda Sana, napata hisia kali sana za mapenzi kila nikikuona, naomba uwe radhi kusex na mimi... "
Aliniambia huku machozi yanamtoka. Nilimpangusa machozi kisha nikamvutia kwangu nikamkumbatia.

Mwanamke kumtamkia mwanaume kuwa anampenda si uhuni wala dhambi
 
Afu ukaamka usingizini ukajifuta vumbi yulee ukaenda prepo
 
Kama ni Kweli inaudhi, ila kuna mtu nitamfungukia humu maana nimemfeel hatari
 
Weee mkuu umemuelewa mtoa mada sana sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…