Najihisi kumpenda mwanaume huyu wa JF Vladimirovich Putin

Najihisi kumpenda mwanaume huyu wa JF Vladimirovich Putin

Status
Not open for further replies.
toxic9

Sikia bro , nje ya JF , wanawake wananipenda mnoooo ndio maana huwa humu sipapatiii mtu ovyooo kwasababu najua ,nje ya JF mpaka nawakimbia mimi.

Baba yangu alinambia, usikae kuwafukuzia wanawake, bali jipe thaman alafu wao ndo watakufukuzia.

Sasa basi kua Mwanamme, na uwalazimishe wakupende ,utaona wanakutamkia.

HATA IVO UKIMWI UPO NA UNAUA, SO ITA UP TO YOU, KILA ANAYEKUJA MBELE YAKO UPITE NAYE ILI UPUNGUZE SIKU ZAKUISHI AU UTULIE NAKUA KM ULIVYO.

Nadhan umenielewa , ... Mwanamke hatongozwi, mwanamke mnatongozana.
 
Sikia bro , nje ya JF , wanawake wananipenda mnoooo ndio maana huwa humu sipapatiii mtu ovyooo kwasababu najua ,nje ya JF mpaka nawakimbia mimi.

Baba yangu alinambia, usikae kuwafukuzia wanawake, bali jipe thaman alafu wao ndo watakufukuzia.

Sasa basi kua Mwanamme, na uwalazimishe wakupende ,utaona wanakutamkia.

HATA IVO UKIMWI UPO NA UNAUA, SO ITA UP TO YOU, KILA ANAYEKUJA MBELE YAKO UPITE NAYE ILI UPUNGUZE SIKU ZAKUISHI AU UTULIE NAKUA KM ULIVYO.

Nadhan umenielewa , ... Mwanamke hatongozwi, mwanamke mnatongozana.
hahahhahahaha Vlad mwenyeweeee
haya bhana labda na wewe unatongozwa eti eeeeh


teh teh kidding bhana
 
Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.

Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .

Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
Ukute mdoa mada mwanaume, hapo ndo utaimba wimbo wa nibebe nibebe
 
Jaman hisia za mapenzi nisawa na kikohozi huwezi kuzificha . Nikiwa kama mschana pia nina moyo unaotaman kua namtu unayempenda.

Sijui ni mbaba au kijana ila Vlad popote ulipo tambua ,Nimetokea kukupenda sana, hisia nilizo nazo siwezi zielezea hapa na sikuwah kua nahisia kama hizi,Vlad nakupenda Baba, nmekua naogopa kukuanza nikihofia utakuja Kunishushua humu ila sina jinsi nmefikia ukomo wa uvumilivu na uoga . Nisaidieni kumfikishia ujumbe .

Samahani kwa wote niliowaudhi kwa uzi huu, sasa najisikia Roho kutulia ,hisia za mapenzi jaman mziache tu ,kitu kinakereketa rohon kama vile mjamzito na kichefu chefu.
#BLIND_DATE.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom