Najiona kama Nahitaji kuwa mume wa mtu. Lakini misimamo ya kuwa baba najiona sina

Najiona kama Nahitaji kuwa mume wa mtu. Lakini misimamo ya kuwa baba najiona sina

Wewe endelea kujaza watu utumbo ndo nyie wasomi na mliotoka kwenye familia za unga unga mwana ,mnashauri watu wasioe mapema.
Unataka mwanangu wa 2 aniite babu???
Oa mkuu kama kuna kitu kinanipa stress ni kuchelewa kuoa. Nna mtoto nilimpata nikiwa 25, ila hadi sasa sijaoa na ni above 34 sasa nawaza nikioa si nitalea hadi nmestaafu
 
Nakushauri oa ukija umu kataa ndoa ni wengine mno 😹😹😹
 
Nilioa nikiwa na miaka 23 na mpka Sasa nafurahia ndoa ndani ya miaka Saba .kataa ndoa ni dalili ya kukata tamaa na kuogopa majukumu
 
Kijana sio huna misimamo ya baba, ila hauna Mamlaka ya Ubaba wa familia, kwa umri wako ulitakiwa uwe nayo,
Kaa karibu na jifunze kwa baba zako acha kupenda kukaa jikoni na kuimba nani kama mama.
 
Kwan umeambiwa unakabidhiwa 😹😹
Hapana tafadhali. Ukikaa na mtoto wa mtu njiandae kwa malezi huku yeye akila raha tu akisubiri kuitwa baba. Namshukuru aliyemuoa mzazi mwenzangu alimweka wazi mtoto wa mwanaume mwenzangu mpelekee akae naye, nikaletewa mtoto ana miaka 4 now ana kumi nalea mwenywe.
 
Hapana tafadhali. Ukikaa na mtoto wa mtu njiandae kwa malezi huku yeye akila raha tu akisubiri kuitwa baba. Namshukuru aliyemuoa mzazi mwenzangu alimweka wazi mtoto wa mwanaume mwenzangu mpelekee akae naye, nikaletewa mtoto ana miaka 4 now ana kumi nalea mwenywe.
Sawa proud dad na mm wangu ntampeleka Kwa baba ake
 
Back
Top Bottom