Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Baaaaaaaasi tatizo lake nishaanza kulijua, inawezekana ni mwanachama mtiifu wa chama cha dronedrakeSoma huu uzi wake labda utamuelewa🤣
Hii ndio siri yangu ya mapenzi nimo JF kitambo ila nimeamua kuja kiufiche ili nipate kuwa huru
Mimi ni kijana(Me) eary 20 na sijafikisha 22 bado, Sijawahi Sex kabisa hili ni moja ya jambo ambalo linanitatiza sana why this to me, unakuta kijana wa miaka 17 anapiga story jinsi anavyo tembeza... Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa
Hahahaa 😂 ngoja akuskie na team yake ya kina min mHapana siwezi kuwa huyo mtoto wa mama mda wote online kama hana kazi za kufanya
Pole totooHaya ninyanyaseni nitafanyaje tena shida ni zangu
😂😂😂 JidanganyeHapana 😂, ila kama ni ukorofi basi unajilazimisha, waachie wenyewe wewe fuata necha yako
Namjua ni yeye leo kala ban na style zake za kudislake ambazo kipenseli ndio hua anafanya all the timeUkisema django donner Hapana, nyamwi ni kweli anaweza kuwa kidume, lakini pia sio, ila ana id zake kama 4 hivi zina nyamwi zote. Anasoma afya
Sasa unafeli wapi?Ndio mkuu
Eeh kitu itakua iko ka mlenda, atabandua vipi unafikiri🤣Baaaaaaaasi tatizo lake nishaanza kulijua, inawezekana ni mwanachama mtiifu wa chama cha dronedrake
Ukiwa huna experience usijifanye fundi kaa tulia wenyeji wakuoneshe maliwato la sivyo utajisaidia jikoni liwe balaaSasa mbona unaload mda mrefu kama internet ya 2G?
😂 mbunyeto sio nzuri kabisaEeh kitu itakua iko ka mlenda, atabandua vipi unafikiri🤣
Famchezo nini😂😂 mbunyeto sio nzuri kabisa
Dada hebu lala kiti iko ka mlenda inapigaje nyeto??Eeh kitu itakua iko ka mlenda, atabandua vipi unafikiri🤣
endelea kungoja mpaka aukwaeUkiwa huna experience usijifanye fundi kaa tulia wenyeji wakuoneshe maliwato la sivyo utajisaidia jikoni liwe balaa
Usingekua unalia lia hapa saivi🤣Dada hebu lala kiti iko ka mlenda inapigaje nyeto??
Kitu iko vizuri sema tu namtunzia bikra mke wangu 😅😅😅
Vijana wanasingizia kulinda kibundaFamchezo nini😂
For real mimi kama ningeweza kutoa hisia basi jingetamani niwe single milele maana sina moyo mgumuMimi sielew siku hizi ninashida gani yani madem wanajigonga wenyewe na sihongi wala nini nikipiga simu moja tu huyu hapa gheto kwa nauli yake. Yani natamani nikumbane na vichwa kama vya huyu dem wa mtoa mada nimuonyeshe kazi.
Basi kama ni ukorofi wafanyie wengine, ukifika kwangu tuliza papara 😂😂😂😂 Jidanganye
Nimekua ss hivi mdogo wangu
Kibunda chenyewe cha af 5Vijana wanasingizia kulinda kibunda
Wanadai mkono hauna gharamaKibunda chenyewe cha af 5
Nyamwi25 ana matatizo ya korodaniNamjua ni yeye leo kala ban na style zake za kudislake ambazo kipenseli ndio hua anafanya all the time