Najipendekeza au niachane nae

Baaaaaaaasi tatizo lake nishaanza kulijua, inawezekana ni mwanachama mtiifu wa chama cha dronedrake
 
Mimi sielew siku hizi ninashida gani yani madem wanajigonga wenyewe na sihongi wala nini nikipiga simu moja tu huyu hapa gheto kwa nauli yake. Yani natamani nikumbane na vichwa kama vya huyu dem wa mtoa mada nimuonyeshe kazi.
For real mimi kama ningeweza kutoa hisia basi jingetamani niwe single milele maana sina moyo mgumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…