Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Usiku?Nipo mahali naota jua, karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku?Nipo mahali naota jua, karibu
Unaota jua, itakuwa upo ugaibuni.Nipo mahali naota jua, karibu
Mchagua jembe si mkulimaNatoa Lai kwamba mshangazi utaojichanganya kuniharibia uvulana wangu tunaenda kupima kwanza🤣🤣🤣🤔
Kwani we uko wapiUnaota jua, itakuwa upo ugaibuni.
Hapa mbona naona jua kaliUsiku?
Sasa wewe mbona umeshindwa kuilamba asali ya hiyo pisi?Mtu ahachi asili tabia ni kama ngozi hakuna anayelamba asali mara moja
Mshamba hana shida zaidi anadekezwa sana na mama yake siunajua tena hadi boksa ananunuliwa muda wote online yani sio mtu wa kuwaza kesho yakeHuyo sawa ni mgonjwa, vp kuhusu mshamba hachekwi, kwani ana shida?
Nipo huku kuzumlaKwani we uko wapi
Nikateni mikono 😅😅😅Kaa mwezi bila bila
Ndio wapi hukoNipo huku kuzumla
Mkuu mbona huku dasalama ni mchana we upo tanzania ipi?Usiku?
😂 kata mwenyewe, punguza hiyo kitu asee, jitahidi ule hiyo mama acha uzembe.Nikateni mikono 😅😅😅
Hahahaa 😂 vp kuhusu min -meMshamba hana shida zaidi anadekezwa sana na mama yake siunajua tena hadi boksa ananunuliwa muda wote online yani sio mtu wa kuwaza kesho yake
Unaota jua ukiamka niadisie hiyo ndotoHapa mbona naona jua kali
MkurangaNdio wapi huko
Usitoke onlineUnaota jua ukiamka niadisie hiyo ndoto
Wasalimie majiraniMkuranga
Nikajua huko kwenu dar ni usiku maana huku kwetu kunapambazuka, wanajogorafia waongo sanaMkuu mbona huku dasalama ni mchana we upo tanzania ipi?
Ni 21 mkuu kwaiyo na wewe ni mwanachama wa dronedrakeZombie Sikutaji Humu Eeh mi nataka tu kujua umri wako ishu za kutokuwa na rafiki sio kigezo sababu hata mimi ni introvert nilieshindikana lakini huo muda wa kumpa akili sana mwanamke sina yani mtu ambae sana sana anakuja tu kuvuruga hesabu zangu na kuniporomosha kiuchumi siwez mfikiria Natafuta Ajira alishanilisha sumu nyingi kuhusu hawa viumbe mpaka nimetapika