Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
- Thread starter
- #201
Sasa mtu akipanga ni kwao?Huishi na ndugu ndiyo, hata mimi sijasema kuwa unaishi na ndugu, nimesema unapoishi sio kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mtu akipanga ni kwao?Huishi na ndugu ndiyo, hata mimi sijasema kuwa unaishi na ndugu, nimesema unapoishi sio kwenu
Huyo dem tuliachana mwez wa tisa baada ya kurudiana kwa week 2 mpaka now niponipo namaliza oxygenNakutaka radhi kwa hilo la kuoga, ila huna Dem. Kataa
Kweli mkuuAnd syo Kila muda unatakiwa uruhusu moyo ukuendeshe....judge na tumia. Logic......usfanye maamuz Kwa hisia mkuu
Hatupo pamoja mkuu now hivyo simuiti chochoteUsimpende sana usimuite mpenzi muite rafiki wanawake wanaumia sana kuitwa rafiki kuliko wangu,mpenzi,mpendwa my love ,my honey ,my baby we mwite rafiki tu
Ninasupp ya kufix kesho na sijasoma 😅Lala sasa mkuu ili uache kuwaza wanawake. Ukilala masaa machache lazima uwaze tu
Kipanga kaamka
Ile email ndio nimeiona jana nilijua labda jina ni lile lile lakoNinasupp ya kufix kesho na sijasoma 😅
Unamjua poor brain?Ninasupp ya kufix kesho na sijasoma 😅
Namjua huyo memberUnamjua poor brain?
Mimi sijamtumia mtu email yeyote jana utakuwa unamix nafile mkuuIle email ndio nimeiona jana nilijua labda jina ni lile lile lako
Kivipi?Namjua huyo member
Oya ulale sasa huyo ni member wa JF anakomment na kulike kwahiyo kwenye pitapita nikamjuaKivipi?
Uote unakimbizwa uje useme Half american mchawiSawa nalala 😂 panapo majaliwa kesho tutasalimiana 🙆
Huna demu kama usingizi ni washida shtua vya dronedrake ulaleuzi ufungwe sasa...
Nipe list za id ambazo unanihusisha nazoHii id tutaimiss ukirudi kule
si umepata suluhisho la tatizo lako au ado?Huna demu kama usingizi ni washida shtua vya dronedrake