Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
- Thread starter
- #221
Wabongo wakikushauri wanaongeza na tatizo
si umepata suluhisho la tatizo lako au ado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si umepata suluhisho la tatizo lako au ado?
Siwezi kuwa kipanga mkuu mimi hua natulia kwenye mahusiano sio fatakiWewe ni kipanga?
yaani hatari sana ni mwendo wa kukatishana tamaa.unakuta mtu anakushauri kwenye kitu ambacho hana ukweli wakeWabongo wakikushauri wanaongeza na tatizo
Nina id buku kidogoMimi sio mwonaji nijue id zako Mkuu, wewe fanya kuniachia hii id one day
Mpaka sasa sijui nimtafute nimwambie kuwa ninakupenda sana na nilitamani tuwe pamoja milele ila ndio hivyo nahisi haitawezekana au nimlie buyu maana yote ni majibu ya wabongoyaani hatari sana ni mwendo wa kukatishana tamaa
id buku za nini sasa mkuu? si unajaza server za jf?Nina id buku kidogo
Are you siriaz naiuza mkuu au tufanye batatred unanipa dada nakupa idNaomba password ya hii mkuu
Mimi ni mtu wa IT by professional hivyo najua JF kwenye user milioni sita hapo user halisi ni elfu 20 (wekundu wawili)id buku za nini sasa mkuu? si unajaza server za jf?
Kuna utopolo nitakuwa kuuweka humu soon then nitakupa na wewe utoe visa vyako vya kimasiharaNajiuliza huyo dada namtoa wapi
😂😂😂😂😂😂Najiuliza huyo dada namtoa wapi
tafuta tu mkuu wanawake wengi sana ,ukimpata mnakua ndugu tayariNajiuliza huyo dada namtoa wapi
Mimi sio dogo nina kazi yangu, nina connection zangu pia ninajiendeleza kielimuMadogo wa IT wanakuwaga na matatizo by nature
Kwaiyo wewe umeshuka direct from heavenBaba alisema wanawake ndio chanzo cha umaskini
itakua alikutana na wanawake pasua kichwaBaba alisema wanawake ndio chanzo cha umaskini
Mimi naweza kukuletea copy ya jf ndani ya sikumkuu wasamehe tu ,ndio wamefanya jf iwepo
😂😂🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌Kazi gani? Kuboot Ms windows?
Mod wa JF wakishapata cha arushe ikusema nyooo kosa tayari ban la mwezWanapiga ban ovyoovyo
Dauh zereuKazi gani? Kuboot Ms windows?
Shujaa wa kuvaa ndomNo, ila mimi ni shujaa