maji mara moja nilishawaambiaZa wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?
Ushauri wenu plz.
Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?
Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
hahaha! monica ehe! usipaniki Monica! unaweza tuu ukabadilika! maji mara moja si tusi monica! ni tabia tuu!Mama yako siyo maji Mara moja? Wewe mwenyewe umezaliwa nje ya ndoa una wadogo na kaka zako kibao mmechangia mama lkn kila mtu na baba YAKE..nenda kamwambie mamayo kwanza yeye n maji maji Mara moja.
nakufahamu toka siku ukiwa darasaa la 4 ushakuwa maji mara moja! ni ka muda kidogo! hahahahahaha! monica ehe! usipaniki Monica! unaweza tuu ukabadilika! maji mara moja si tusi monica! ni tabia tuu!
monica ehe! nakumbuka siku ile tuko wote nilicheka sana! maji mara mojaSijakataa ni tabia ndiyo lkn kama ya mamayo kubali kwanz ndipo tuendelee
cc Paulo Sergio De Souz. Hope you have seen this too.
maji mara moja banaHuwezi pata nafasi yakuwa na Mimi labda ndotoni..yaani najithamini
Za wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?
Ushauri wenu plz.
Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?
Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
kweli kabisa! ila toka kitambo sana Monica! nikumbushe tuligombanaga nnLeo utasimulie umechart na moniii
Za wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?
Ushauri wenu plz.
Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?
Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?