Najisikia huzuni moyoni mwangu

Najisikia huzuni moyoni mwangu

Za wakati tena wanajamvi!

Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.

Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.

najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?

Ushauri wenu plz.

Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?

Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
maji mara moja nilishawaambia
 
maji mara moja nilishawaambia
Mama yako siyo maji Mara moja? Wewe mwenyewe umezaliwa nje ya ndoa una wadogo na kaka zako kibao mmechangia mama lkn kila mtu na baba YAKE..nenda kamwambie mamayo kwanza yeye n maji maji Mara moja.
 
Hujielewi,si juzi tu umetualika kwa harusi ?na ukatupa mrejesho siku nne baada ya ndoa ?
 
Mama yako siyo maji Mara moja? Wewe mwenyewe umezaliwa nje ya ndoa una wadogo na kaka zako kibao mmechangia mama lkn kila mtu na baba YAKE..nenda kamwambie mamayo kwanza yeye n maji maji Mara moja.
hahaha! monica ehe! usipaniki Monica! unaweza tuu ukabadilika! maji mara moja si tusi monica! ni tabia tuu!
 
hahaha! monica ehe! usipaniki Monica! unaweza tuu ukabadilika! maji mara moja si tusi monica! ni tabia tuu!
nakufahamu toka siku ukiwa darasaa la 4 ushakuwa maji mara moja! ni ka muda kidogo! hahaha
 
hahaha! monica ehe! usipaniki Monica! unaweza tuu ukabadilika! maji mara moja si tusi monica! ni tabia tuu!
Sijakataa ni tabia ndiyo lkn kama ya mamayo kubali kwanz ndipo tuendelee
 
Za wakati tena wanajamvi!

Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.

Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.

najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?

Ushauri wenu plz.

Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?

Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?

kabla ujaokoka nipe namimi mgegodo mmoja
 
Za wakati tena wanajamvi!

Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.

Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.

najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?

Ushauri wenu plz.

Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?

Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?

Wewe si una siku sita ndoani wewe?
 
Back
Top Bottom