Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Umeshawahi kula Tunda Kimasikhara?Mi ni mwanandoa mpyaaaaa
Aisee mwanamke akiniita mme wangu huwa najisikia amani ya nafsi.
Nyie oweni shauri yenu
Nafikiri Kampeni yako ya 'Kubali Ndoa' unaipiga vibaya, kajipange upya ili uje na hoja nzito zitakazosaidia kuwashawishi watu ili waoe.Mi ni mwanandoa mpyaaaaa
Aisee mwanamke akiniita mme wangu huwa najisikia amani ya nafsi.
Nyie oweni shauri yenu
Atupe na Namba yake ya simu
Hatudanganyiki bro.Mi ni mwanandoa mpyaaaaa
Aisee mwanamke akiniita mme wangu huwa najisikia amani ya nafsi.
Nyie oweni shauri yenu
wengi hata wakiwa kwa michepuko yao huimba vivyo hivyo wakiwa wanalima 🐒Mi ni mwanandoa mpyaaaaa
Aisee mwanamke akiniita mme wangu huwa najisikia amani ya nafsi.
Nyie oweni shauri yenu
Soon utaitwa karibia na mwisho wa mwezi tu,km ni muajiri au akijua leo umepiga pesa kitaa km ni mawinga, kingine usizingue na ajue but sometimes anafanya hivyo ilikukufunga Kwa afanyayoMi ni mwanandoa mpyaaaaa
Aisee mwanamke akiniita mme wangu huwa najisikia amani ya nafsi.
Nyie oweni shauri yenu
Mi ni mwanandoa mpyaaaaa
Aisee mwanamke akiniita mme wangu huwa najisikia amani ya nafsi.
Nyie oweni shauri yenu
Hatudanganyiki bro.
Sie wengine tunapendwa kuitwa daddy pale unasasambua mbususu ya vitoto vya form 4 na for 6