Najisikia raha nikiitwa mume wangu! Kuoa raha

mmmh
 
Siku ukianza kuitwa mkuu au kiongozi urudi tena hapa!
 
Utakapo anza kuitwa bro, kiongozi au mkuu uje tena utuambie kama ndoa tamu.
 
M ha wanapataga wajinga...mie nilishawajulia hawa watoto wanahitaji nini

Kijijini mtu mzima akitaka kula minor, huwa anajenga urafiki na baba mtoto na kumspoil sana baba mtoto kiasi kwamba anakabidhiwa mtoto akiwa mbichi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…