Najisikia vibaya kutembea na mke wa mtu

Pole mtoto mzuri. Usirudie tena eeh sawa? Haya Nenda kwa Mangi akupe Kijoti mwambie Kaka ataleta Hela.

Usilale kwa watu siku nyingine tena ntakuchapa Mdogo wang Sam
Point sana
 
Ww unaogopa kukamatwa tu wala huna nia ya kuacha, nyege bado zikijaa unarudia na uendako utajutia. Mwanaume busy kutafuta chakula cha familia ww unachezea pumziko la mwenzio. Another script is coming for you.
 
Mmmh..mbn unajizeesha blood mke wa mtu,,aah unafelii San mtu wang seriously n kwel wanajieka San kwetu cc wa 23s ila binafs nshapata mifumo kuwa overcome njoo PM n Risky San af ndoa inauma kchz ht mwnyw nkijarb kuvaa uhusika wa Victim nafeel io ham ya kumsaidia Israel..
 
Kulala tu kwenye nyumba ya huyo Mwanamke na Mume wake huo ni ujasiri wa hali ya juu, kuwa makini sana.
 
Acha mara moja ujinga wako.
La sivyo tembea na KY kila ukanyagapo siku zako zinahesabika.
 
Hata iyo stori unavoielezea yaonesha wazi kwamba ni ya kutunga tu sio kweli any way mke wa mtu sumu baba kaa nao mbali
 
Karma is real.

Kuna kipindi nawe utaoa. Nawe utaenda kutafuta chochote wanao na mkeo wale. Halafu utagundua kuwa mkeo analiwa, utalalamika sana humu. Nasi tutakushauri lolote kwa kukuhurumia. Kumbe, unavuna ulichopanda.

Uwe tu nakumbukumbu. Utakavyokuja kujisikia, ndivyo anakavyojisikia mwenye mke.

Hujachelewa, acha kabisa hata mazoea na mke wa mtu. Kaa nae mbali. Mazoea huleta vishawishi.
 
Mtoa mada umeniwahi, na Mimi nimekuwa na incident exactly Kama hi yako.Nilitembea na mke na mtu na nimejutiq Sana kitendo hicho.

Mungu atusamehe Mimi na wewe.
 
Dah! Kwa hiyo itabidi nianze kujiandaa kisaikolojia mapema hii ili siku nikigongewa mke wangu nisipapatike.
 
Mtoa mada umeniwahi, na Mimi nimekuwa na incident exactly Kama hi yako.Nilitembea na mke na mtu na nimejutiq Sana kitendo hicho.

Mungu atusamehe Mimi na wewe.
Kwanini hadi sasa hujajinyonga?
 
Weka akiba kuwa hata wewe ukioa lazima kijana aje kupita hapo
Sasa two wrongs dont make a right. Cha msingi hapa ni kwamba kutombewaa hakuepukiki. Mwanawane wee chakata mbususu hiyo bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…