Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Hahahah ngoja nianze na kicheko unafiki, hivi wanaonijua huwa naandikaga pumba eti?

Anyway sikuumbiwa mapenzi, ninayotamani yote hufa. I hate love, ila sina jinsi, najua napoteza ila sina namna, nahitaji muda sana.

Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani, furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi. Sijui kwanini Mungu aliniweka huku.

I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake.

Ila nakupenda sana, siwezi jidanganya!
 
IMG-20230416-WA0109.jpg
 
Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?

Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana

Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku

I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake

Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
Unampenda Nani Tena?
 
Hahahah ngoja nianze na kicheko unafki hivi wanaonijua hua naandikaga pumba et?

Anyway sikuumbiwa mapenzi ninayotamani yote hufa
I hate love, ila sina jinsi najua napoteza ila sina namna nahitaji muda sana

Ninahisi pain sana kila wazo la kimahusiano linapo nipitia kichwani furaha yangu ni ndogo tu 20% tena kwa muda ila huzuni ni nyingi
Sijui kwanini Mungu aliniweka huku

I hateeeeeeeee my heart, nachukia mapenzi, nachukia upendo, nachukia wanawake

Ila Nakupenda sana, siwezi jidanganya
Pole yatapita usijiweke au kuegemea kwenye huzuni au negative side... Turn your mind and heart on the other things,,, life is too short don't waste a single minute on selfpity.... Enjoy it while it last...... YOLO!!!!!!!!
 
Sijawahi ona mwanamke mwenye akili
Hilo ndo tatizo lako...mapenzi hayahitaji akili kubwa sana, mapenzi ni ku entertain uupuzi tu kutoka kwa mwanamke.

inshort mwanamke kwenye mapenz ni kama plain paper...unaweza kuandika chochote yaan hawana akili wewe ndo unajaza akili yake...ukiwa na mahusiano na mwanamke akili yako ndo inatumika mkuu
 
watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja, binadamu wote tumeumbiwa tamaa, hakuna binadamu atakupenda kama hajavutiwa na kitu Toka kwako, yaani Kuna kitu kiwe kimemvutia, either muonekano wako au pesa zako, hakuna mtu atakupenda kwa kukuonea huruma, tena unavyolia lia ndo kabisaaa

Mahusiano yakiisha focus on yourself, jipende aisee!! Wanaume tumekua wajinga sana,mtu unahonga wanawake wakasuke kila wiki ila unakuta we huna hata saa nzuri au perfume ya kiwango! Hata kama umeoa thamini familia ila usijisahau, mwanaume fanya mazoezi jiweke nadhifu fanya kazi kwa bidii tafuta pesa, mwanamke lazima atakuchukulia kivingine, anajua akizngua msururu wa wanawake huo hapo kutaka nafasi, kwanini asikuheshimu

jiweke smart, piga tizi tafuta pesa acha kulia Lia mwanaume!!!
Ila kama umechapiwa, piga chini huyo kunguru, mimi wife nilishamwambia live, sitokaa nikuchunge sijui mambo ya kukagua simu yako, kama unataka kucheat fresh tu, ila omba sana nisije kujua! Yaani Sina msamaha hata ukileta makaika waje wakutetee


nikamwambia kabla hujafanya màamuzi ya kwenda kuliwa nje, waangalie Hawa watoto wako wawili vizuri unachoenda kufanya kitasababisha Hawa watoto waishi bila wazazi wao wote wawili, ukiona hicho unachofata ni Bora kuliko familia yako sawa nenda, ila siku nikijua it's the end Hilo halina mjadala na yeye anajua Hilo! That's my ground rule


nimempa uhuru afanye anachotaka ila akijua the consiquensces, maana ukikalia kumchunga sana mwanamke utashindwa hata kutafta pesa, nishaona wengi wanakataa deals za pesa ndefu kisa kuwaza nikienda huko mbali kukaa miezi let say minne wife huku itakuaje, stupid!!.


tafuta pesa kiongozi, mwanamke akileta ujinga piga chini chukua namba E weka ndani!!
 
Back
Top Bottom