Najitahidi walau kufuatilia hili bunge kipindi hiki cha bajeti lakini Wabunge wanakera sana hasa wa CCM

Najitahidi walau kufuatilia hili bunge kipindi hiki cha bajeti lakini Wabunge wanakera sana hasa wa CCM

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Yani mtu umeacha mambo yako atleast ufuatilie bunge la bajeti lakini badala yake mbunge anachangia hoja, linatokea limbunge lingine linasema taarifa, mchangiaji anakaa chini spika anampa nafasi mtowa taarifa halafu taarifa yenyewe pumba tupu.

Hivi spika haoni kumkarisha mtu chini wakati alikuwa anatowa hoja zake unamuharibia mtiririko wa hoja zake?

Hivi ni kweli wabunge ni vilaza kiasi hiki hamjui unaharibu flow ya mchangiaji? Je spika huu upuuzi auoni?

Tunaomba pamoja ya kwamba hili ni bunge la hovyo tu lakini mtu anapochangia hoja aachwe asikilizwe hoja zake akimaliza mwenye taarifa ndio apewe nafasi, inakera sana, kama ni kanuni hizi kanuni za kipuuzi zirekebishwe haraka kuna wabunge kazi yao ni kudandia hoja za watu tu.
 
Yaani nipoteze muda wangu kuangalia hilo bunge!! huo muda SI Bora niangalie chonda nipate mdiso.
 
Ni bunge la nchi gani kwanza....🤔
 
"Mbunge msomi" alishawaambia watanzania mkae mtulie mambo mengine ni "very technical" hamuwezi kuelewa.

Noma sana.
 
Yani mtu umeacha mambo yako atleast ufuatilie bunge la bajeti lakini badala yake mbunge anachangia hoja, linatokea limbunge lingine linasema taarifa, mchangiaji anakaa chini spika anampa nafasi mtowa taarifa halafu taarifa yenyewe pumba tupu.

Hivi spika haoni kumkarisha mtu chini wakati alikuwa anatowa hoja zake unamuharibia mtiririko wa hoja zake?

Hivi ni kweli wabunge ni vilaza kiasi hiki hamjui unaharibu flow ya mchangiaji? Je spika huu upuuzi auoni?

Tunaomba pamoja ya kwamba hili ni bunge la hovyo tu lakini mtu anapochangia hoja aachwe asikilizwe hoja zake akimaliza mwenye taarifa ndio apewe nafasi, inakera sana, kama ni kanuni hizi kanuni za kipuuzi zirekebishwe haraka kuna wabunge kazi yao ni kudandia hoja za watu tu.
Kwanza inabidi tukupongeze kwa kuwa na udhubutu wa kuangalia huo upuuzi uitwao bunge. Tunaojitambua tumeshaacha muda mrefu maana tunajua ni upuuzi wa wezi wa kodi zetu.
 
Yani mtu umeacha mambo yako atleast ufuatilie bunge la bajeti lakini badala yake mbunge anachangia hoja, linatokea limbunge lingine linasema taarifa, mchangiaji anakaa chini spika anampa nafasi mtowa taarifa halafu taarifa yenyewe pumba tupu.

Hivi spika haoni kumkarisha mtu chini wakati alikuwa anatowa hoja zake unamuharibia mtiririko wa hoja zake?

Hivi ni kweli wabunge ni vilaza kiasi hiki hamjui unaharibu flow ya mchangiaji? Je spika huu upuuzi auoni?

Tunaomba pamoja ya kwamba hili ni bunge la hovyo tu lakini mtu anapochangia hoja aachwe asikilizwe hoja zake akimaliza mwenye taarifa ndio apewe nafasi, inakera sana, kama ni kanuni hizi kanuni za kipuuzi zirekebishwe haraka kuna wabunge kazi yao ni kudandia hoja za watu tu.
= kumkalisha

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom