- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,072
- 10,514
ludi = rudiNaomba uludi FB haraka sana huku sio mahara pake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mahara = mahala.
Itakua vizuri kama atakuchukua na wewe ili mrudi wote Facebook!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ludi = rudiNaomba uludi FB haraka sana huku sio mahara pake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona sioni kosa lake?Mmmh kama chura
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ludi = rudi
mahara = mahala.
Itakua vizuri kama atakuchukua na wewe ili mrudi wote Facebook!
Hapana,nilikua na binti yangu akaniambia "mum, it looks like a frog"[emoji28] [emoji28], hornet huna brake, ha ha ah
HahahaaaUmejuaje sisi ni wakuu !!? Eti wewe ...
Au viroba huko kwenu bado vipo
Karibu mkuu.
Chura ipi mkuu ya nyuma ama ya majini!!!Mmmh kama chura
ya kihansiChura ipi mkuu ya nyuma ama ya majini!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuuhhh Jf[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
carbamazepine njoo umkaribishe mkuu huku
Ngoja nisepe usije ukanigawie mimi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakugawaaaaa umenishinda tabia
Wenzako huku tunajaribu kuwa fake wewe umeweka hadi picha yako
Nakuhamu tu mimi,maana naona tangu nikwambie nakuwinda umeanza kunitoroka[emoji17][emoji17][emoji17]Ngoja nisepe usije ukanigawie mimi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hata mimi nakuhamu sana ujue kuliko KK[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakuhamu tu mimi,maana naona tangu nikwambie nakuwinda umeanza kunitoroka[emoji17][emoji17][emoji17]
Unakua fake kwa sababu unazo sababu za kua feki. Yeye hana!Wenzako huku tunajaribu kuwa fake wewe umeweka hadi picha yako
Hili jambo lazima nilifikishe kule kijiweni[emoji24][emoji24][emoji24]Hata mimi nakuhamu sana ujue kuliko KK[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tahadhari kabla ya hatari ni muhimu sana
Nahitaji namba yake, angeweka ingependezaKaribu sana mkuu...
Jiskie home na wenyeji wako tunakukaribisha kwa mikono miwili.
Mwisho naomba nikupongeze kwa kufanya maamuzi mujarab kabisa ya kuweka picha yako pasipo hofu wala mashaka. Umependeza sana mkuu, achana na wote wanao jaribu kukukosoa wakati haukujiumba wewe