Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ha haaaa kwa kweli..ludi = rudi
mahara = mahala.
Itakua vizuri kama atakuchukua na wewe ili mrudi wote Facebook!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaaa kwa kweli..ludi = rudi
mahara = mahala.
Itakua vizuri kama atakuchukua na wewe ili mrudi wote Facebook!
Ebu kamata fursa kule PM kabla hawaja mshika.... tehteehhhNahitaji namba yake, angeweka ingependeza
We dada umeruga mbavu zangu haya njoo unitibu.Mmmh kama chura
Ngoja niharakishe, anaonekana yupo vizuri physically and financiallyEbu kamata fursa kule PM kabla hawaja mshika.... tehteehhh
Ewaaa si unaona hiyo capital hapo nyuma yake,.hautakosa hela ya weavingNgoja niharakishe, anaonekana yupo vizuri physically and financially
Teh..atakuwa msukuma lazimaEwaaa si unaona hiyo capital hapo nyuma yake,.hautakosa hela ya weaving
Hawa wauza mazao wapo vizuri mkuu, maana wanakula Dona na hata kwenye umateumate aka njaro hawanaga obstacles nyingi kabisa wavulana wa humu.Ngoja niharakishe, anaonekana yupo vizuri physically and financially
Huyu ni mnyaki kabisaTeh..atakuwa msukuma lazima
Demiss = Mr Tunguli.
Akija niambie amemkaribisha vipiDuuuuhhh Jf[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
carbamazepine njoo umkaribishe mkuu huku
Hapana mkuu, seriously huyu kanivutiaHumu ndani wadada wanavutiwa zaidi na picha fake za models wenye six pack, au gentlemen in suits and fancy cars!
Imefikia hatua mtu akiweka picha yake halisi anaitwa chura!
God is watching!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni mnyaki kabisa
Hapo msukuma angenyoosha na dole gumba juu
Kakuja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akija niambie amemkaribisha vipi
[emoji102][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakugawaaaaa umenishinda tabia
Polee mkuu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Nimejikuta naumia mimi aki...[emoji29] [emoji29]
Yaani hapo ndo nimeshangaa tangia 2015 et anakuja kujitambulisha leo.Dah,yaani hadi picha
Fine!Hapana mkuu, seriously huyu kanivutia
[emoji375] [emoji380] [emoji379] [emoji378] [emoji366]Hata mimi nakuhamu sana ujue kuliko KK[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tahadhari kabla ya hatari ni muhimu sana
Acha uongo.Hapana,nilikua na binti yangu akaniambia "mum, it looks like a frog"
Nikakumbuka watoto ni malaika wanaona yaliyo gizani.