micky 00
Member
- Apr 24, 2017
- 98
- 98
Nikiwa Kama Kijana Mzalendo Hapa Tanzania Nimeamua Kujitolea Kupambana na Hawa Vijana Wapuuzi Wanao Tishia Maisha Ya Watanzania Wenzangu
Nimepitia Mafunzo Ya Ugambo mwaka 2001 nikajiunga Na jeshi Mwaka 2004.
Mwaka 2011 nikapelekwa Somalia kupambana na Vikosi vya ugaidi Mwaka 2016 nikaingia congo kupambana na waasi (ndani ya miezi 7)
Mwaka 2018 nikachaguliwa kuwa muwakilishi tokea East Africa kwenye mafunzo ya sniper nchini Korea Kaskazini
Nimepata taarifa juu ya hali hii ya Panya road narudi kwaajili ya kuweka amani kwenye taifa langu 🇹🇿
Nimepitia Mafunzo Ya Ugambo mwaka 2001 nikajiunga Na jeshi Mwaka 2004.
Mwaka 2011 nikapelekwa Somalia kupambana na Vikosi vya ugaidi Mwaka 2016 nikaingia congo kupambana na waasi (ndani ya miezi 7)
Mwaka 2018 nikachaguliwa kuwa muwakilishi tokea East Africa kwenye mafunzo ya sniper nchini Korea Kaskazini
Nimepata taarifa juu ya hali hii ya Panya road narudi kwaajili ya kuweka amani kwenye taifa langu 🇹🇿