Najiuliza, ipo faida gani wanapata wanasiasa, kuyageuza mema ya mtu kuwa ubaya kwa wananchi?

Najiuliza, ipo faida gani wanapata wanasiasa, kuyageuza mema ya mtu kuwa ubaya kwa wananchi?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Hakuna asiyejua, miaka mitano yote, wananchi mjini na vijijini, waliunganishiwa umeme kwa bei hiyo ambayo leo inasemwa, hapo katikati tulidanganywa na haiwezekani! Na wakati huohuo, hata anayesema hivyo, huko nyuma alipita kila mahali kutangazia wananchi bei ya 27000 tu

Kumebadirika nini leo.?

Yanaposemwa hayo, yanalengo lipi kama si kugeuza uzuri wa jambo la mtu na kumpakazia ubaya?

Je,ipo faida inapatikana kuhusiana na hayo mambo, kugeuza mazuri yake na kumpakazia ubaya ili hali kwanza hayuko duniani? Hii nayo inaweza kuwa ni dhambi mbele za muumba

Kitakachofuata, ada, wazazi mjiandae kulipa!

Yetu macho!
 
Watu ambao huwezi kuwaelewa ni Wanasiasa
Hatujui hata yule kwa kupenda misifa alikuwa anakopa huko na kuwapa shirika lijiendeleza

Hivi zile ndege zinaingiza faida kiasi gani vile?
 
Kwanza wazazi tunaosomesha watoto shule zetu pendwa kayumba please UJIANDAE upepo unageuka soon!.

Pili dhana ya mwanasiasa inabaki palepale kuwa, akikwambia "... toka nje kuna giza jiongeze mwenyewe uende ukahakikishe kweli kuna giza?"

Then mwanasiasa hasa huyu wa kiafrika hana hakidi kwa wananchi bali ana jozi ya kutawala na kujinufaisha, tuchukue mfano wa mzee mmoja late kambona, huyu alitaka Tanzania ijitawale na kujiendesha kibepari as Kenya na akiwa waziri wanaofaham na kusima historia mzee alijichotea mlungula toka kwa mabeberu aliokuwa tayari kaingia nao mikataba kadhaa

Huyo ndiye mwanasiasa alivyo na hata hawa tunawajadili hapa, hawawezi kuwa tofauti sababu mwenye uchungu na nchi yake siku zote hawezi kuwa na siku ndefu.
 
Hakuna asiyejua, miaka mitano yote, wananchi mjini na vijijini, waliunganishiwa umeme kwa bei hiyo ambayo leo inasemwa, hapo katikati tulidanganywa na haiwezekani! Na wakati huohuo, hata anayesema hivyo, huko nyuma alipita kila mahali kutangazia wananchi bei ya 27000 tu

Kumebadirika nini leo.?

Yanaposemwa hayo, yanalengo lipi kama si kugeuza uzuri wa jambo la mtu na kumpakazia ubaya?

Je,ipo faida inapatikana kuhusiana na hayo mambo, kugeuza mazuri yake na kumpakazia ubaya ili hali kwanza hayuko duniani? Hii nayo inaweza kuwa ni dhambi mbele za muumba

Kitakachofuata, ada, wazazi mjiandae kulipa!

Yetu macho!

Hayo ndio malipo ya mtu muovu. Wote tunajua alikuwa mtu muovu. Kinachofanyika sasa ni kurekebisha uovu ule.
 
Kwanza wazazi tunaosomesha watoto shule zetu pendwa kayumba please UJIANDAE upepo unageuka soon!.

Pili dhana ya mwanasiasa inabaki palepale kuwa, akikwambia "... toka nje kuna giza jiongeze mwenyewe uende ukahakikishe kweli kuna giza?"

Then mwanasiasa hasa huyu wa kiafrika hana hakidi kwa wananchi bali ana jozi ya kutawala na kujinufaisha, tuchukue mfano wa mzee mmoja late kambona, huyu alitaka Tanzania ijitawale na kujiendesha kibepari as Kenya na akiwa waziri wanaofaham na kusima historia mzee alijichotea mlungula toka kwa mabeberu aliokuwa tayari kaingia nao mikataba kadhaa

Huyo ndiye mwanasiasa alivyo na hata hawa tunawajadili hapa, hawawezi kuwa tofauti sababu mwenye uchungu na nchi yake siku zote hawezi kuwa na siku ndefu.
Umenifundisha kitu mkuu
 
Hayo ndio malipo ya mtu muovu. Wote tunajua alikuwa mtu muovu. Kinachofanyika sasa ni kurekebisha uovu ule.
Mtakatifu ni Nani mkuu, ikiwa hata wewe si mtakatifu, kama si mtakatifu, basi na wewe unayo hali ya uovu,

Lakini pia, unadhani muovu hana hata jema moja? Ikiwa hata kwako vitu hivi viwili unavyo, basi hata mema unayo,!
 
Ni hatari mno kusahau kwamba kesho ni inatungoja

Mtafanyaje wakati alifundisha hawa kukaa madarakani bila ridhaa ya umma? Kabla yake wangalau watu walikuwa na hofu ya box la kura, hivi sasa wanaamua nani akae kwenye madaraka.
 
Hakuna asiyejua, miaka mitano yote, wananchi mjini na vijijini, waliunganishiwa umeme kwa bei hiyo ambayo leo inasemwa, hapo katikati tulidanganywa na haiwezekani! Na wakati huohuo, hata anayesema hivyo, huko nyuma alipita kila mahali kutangazia wananchi bei ya 27000 tu

Kumebadirika nini leo.?

Yanaposemwa hayo, yanalengo lipi kama si kugeuza uzuri wa jambo la mtu na kumpakazia ubaya?

Je,ipo faida inapatikana kuhusiana na hayo mambo, kugeuza mazuri yake na kumpakazia ubaya ili hali kwanza hayuko duniani? Hii nayo inaweza kuwa ni dhambi mbele za muumba

Kitakachofuata, ada, wazazi mjiandae kulipa!

Yetu macho!
Uongo ukisemwa, na kurudiwa mara kwa mara, basi huweza kuaminika kuwa ndiyo ukweli wenyewe. Miaka mitano iliyopita ndiyo hali ilivyokuwa, uongo mwingi sana ulifanyika na kuaminika kuwa ni ukweli, huku watu wakiogopa kuukanusha kwa hofu ya vitisho vya mtawala.

Watu waliamishwa ATCL inajiendesha kwa faida, miradi mikubwa inaendeshwa kwa fedha za ndani, na Kadhalika, kumbe yote hayo yalifanyika ikiwa ni njia ya kumpa kiki za kisiasa mfalme na kundi lake la karibu.

Ni vyema tukafanya tathmini zetu wenyewe na kujiridhisha kabla ya kuanza kulalamikia na kutaka kuhalalisha uongo tulioaminishwa kuwa ni ukweli kumbe sivyo.
 
Mtakatifu ni Nani mkuu, ikiwa hata wewe si mtakatifu, kama si mtakatifu, basi na wewe unayo hali ya uovu,

Lakini pia, unadhani muovu hana hata jema moja? Ikiwa hata kwako vitu hivi viwili unavyo, basi hata mema unayo,!
Yule mtu alikuwa muovu shetani kabisa. Unamtetea muuaji?

Alitengeneza makundi ya akina Sabaya, Makonda na Mnyeti.

Yule alichokifanya hapa hata kaburi lake linaweza pigwa bomu
 
Mtafanyaje wakati alifundisha hawa kukaa madarakani bila ridhaa ya umma? Kabla yake wangalau watu walikuwa na hofu ya box la kura, hivi sasa wanaamua nani akae kwenye madaraka.
Yule muovu aliharibu sana taifa letu
 
Back
Top Bottom