Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiuliza au kujiuliza maswali maana yake unategemea majibu....ukiuliza maswali na ukakosa majibu tayari ni tatizo hiloAliekwambia kuna tatizo nani?
Kakosa kazi mkuu! So anasimama barabarani kutwa nzima!
Ohh analipwa kumbeKubeba bango siku nzima sio kazi??!!
Hivi kumbe kazi ili iitwe kazi ni lazima uwe unalipwa?Ohh analipwa kumbe
Kwani kazi ili iwe kazi ni lazima ulipwe ndio ionekane kua ni kazi?Ohh analipwa kumbe
Ohh analipwa kumbe
Utajibiwa huyo ni usalama wa Taifa.
Ndio mawazo yetu Wana JF.
Ohhh sawaKazi sio lazima iwe na malipo, mbona Nyerere na wenzake walifanya kazi ya kudai uhuru wa nchi hii nani aliwalipa??
Najua basi?Kwani kazi ili iwe kazi ni lazima ulipwe ndio ionekane kua ni kazi?
😎
Sijui etiHivi kumbe kazi ili iitwe kazi ni lazima uwe unalipwa?