Najiuliza maswali sipati majibu!

Najiuliza maswali sipati majibu!

Huku Buza yupo Nabii Tito ana mabango mawili moja limeandikwa "Kiongozi anayevaa barakoa siyo mzalendo" jingine nimesahau.

So atakukuta umesimama au umekaa anasimama mbele yako muda wa kutosha kuhakikisha umeupata ujumbe kisha atakuambia "Haya lete sadaka"
 
Huku Buza yupo Nabii Tito ana mabango mawili moja limeandikwa "Kiongozi anayevaa barakoa siyo mzalendo" jingine nimesahau.

So atakukuta umesimama au umekaa anasimama mbele yako muda wa kutosha kuhakikisha umeupata ujumbe kisha atakuambia "Haya lete sadaka"
Nabii tito namuonaga bunju bar ya mchaga hivi nachekaga sana .
 
Jamani nimeswitch channel kusubiri half time ya Uholanzi na Austria nimeweka ST Swahili nimekuta muvi inaitwa Doa.

Jamaa kaenda kumuomba ushauri wa ndoa yake mlevi halafu anamlalamikia kwanini haunipi ushauri unazunguka zunguka tu? Naomba unipe ushauri mbona haunielewi? Jitahidi kunielewa.

Sasa hivi kamuambia atamtafuta akiwa sawa.

Mlevi kakasirika kauliza kwahiyo sasa hivi miguu ipo kichwani?

I hate my TV.
 
Back
Top Bottom