Kuna tofauti kati ya kazi na ajira...Ohh analipwa kumbe
Nabii tito namuonaga bunju bar ya mchaga hivi nachekaga sana .Huku Buza yupo Nabii Tito ana mabango mawili moja limeandikwa "Kiongozi anayevaa barakoa siyo mzalendo" jingine nimesahau.
So atakukuta umesimama au umekaa anasimama mbele yako muda wa kutosha kuhakikisha umeupata ujumbe kisha atakuambia "Haya lete sadaka"
Hahah naona mambo yameanza.Na kijiwe chake ni pale O'bay taa za Jangid Plaza karibu kabisa na kitengo